Siasa Zetu : NDESAMBURO Atangaza Kutogombea Tena ,Amnadi Meya Jaffari Michael - Wazalendo 25 Blog

Habari Mpya

Glory to Story.


Post Top Ad


16 Apr 2015

Siasa Zetu : NDESAMBURO Atangaza Kutogombea Tena ,Amnadi Meya Jaffari Michael


Baadhi ya wakazi wa mji wa Moshi wakifuatili mkutano wa hadhara wa Chadema uliofanyika katika eneo la soko la Manyema.
Katibu mwenezi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wilaya ya Moshi na Diwani wa Kata ya Kiusa ,Stephen Ngasa akizungumza katika mkutano huo wa hadhara.
Mbunge wa jimbo la Moshi mjini Philemoni Ndesamburo akiwasili katika viwanja eneo la soko la Manyema akiwa ameongozana na Diwani wa kata ya Mji Mpya ,Abuu Shayo na Stephen Ngasa wa kata ya Kiusa.
Mstahiki Meya a manispaa ya Moshi,Jafary Michael akihutubia mamia ya wananchi waliofika katika mkutano huo uliofanyika katika viwanja vilivyoko jirani na soko la Manyema .
Mmoja wa wafuasi wa Chadema akiwa amekaa chini akifuatilia mkutano huo.
Mbunge wa Jimbo la Moshi mjini ,Philemoni Ndesamburo akiteta jambo na Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Hai,Clement Kwayu wakati wa mkutano wa hadhara.
Mamia ya wananchi katika mji wa Moshi wakishangilia hotuba iliyokuwa ikitolewa na Msathiki Meya wa manispaa ya Moshi,Jafary Michael.
Mbunge wa Jimbo la Moshi mjini Philemoni Ndesamburo akimtambulisha Mstahiki Meya wa Manispaa ya Moshi Jafary kuwa mrithi wake wa kiti cha ubunge katika jimbo hili wakati wa uchaguzi mkuu utakaofanyika mwezi oktoba.
Ndesamburo akizungumza na wananchi wa Moshi mara baada ya kumtangaza mrithi wake katika jimbo la Moshi mjini.
Mamia ya wananchi wakimsikiliza Ndesamburo.
Mstahiki Meya ,Michael akiwa amekaa kando ya Mbunge ,Philemoni Ndesamburo .

Na Dixon Busagaga

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad