Siasa : Nchimbi Apokea Baraka za Mama yake Mzazi - Wazalendo 25 Blog

Glory to Story.

Habari Mpya

Monday, 11 August 2025

Siasa : Nchimbi Apokea Baraka za Mama yake Mzazi


Mama mzazi wa Balozi Dkt Emmanuel John Nchimbi akimpa baraka mwanaye muda mfupi kabla ya mgombea huyo mwenza kwenda kuungana na mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk Samia Suluhu Hassan, kuchukua fomu za kuwania urais katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu leo, tarehe 9 Agosti 2025, katika Tume Huru ya Uchaguzi (INEC).

No comments:

Post a Comment