Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), Ndg. Ramadhani Kailima na Mkurugenzi wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) Ndg. Thabit Idarus Faina (kulia) wakiongoza kikao cha pamoja cha wajumbe wa menejimenti baina ya Tume hizo mbili leo Julai 17,2025 kilichokutana katika Ofisi za ZEC Mjini Unguja Zanzibar. Kikao hicho ni maandalizi kuelekea kikao cha pamoja cha INEC na ZEC kitakachokutana hivi karibuni kisiwani humo. (Picha na INEC).
WAZIRI WA NISHATI MHE. NDEJEMBI AZINDUA RASMI MITA JANJA
-
*Waziri wa Nishati Mhe. Deogratius Ndejembi amezindua rasmi mita janja
(smart meter) yenye lengo la kuboresha na kumrahisishia mteja kufanya
manun...
9 hours ago


No comments:
Post a Comment