Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), Ndg. Ramadhani Kailima na Mkurugenzi wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) Ndg. Thabit Idarus Faina (kulia) wakiongoza kikao cha pamoja cha wajumbe wa menejimenti baina ya Tume hizo mbili leo Julai 17,2025 kilichokutana katika Ofisi za ZEC Mjini Unguja Zanzibar. Kikao hicho ni maandalizi kuelekea kikao cha pamoja cha INEC na ZEC kitakachokutana hivi karibuni kisiwani humo. (Picha na INEC).
TANZANIA KUANDAA MPANGO WA HATUA ZA MAPEMA ZA KUJIANDAA KUKABILIANA NA
UKAME - DKT. YONAZI
-
Na Mwandishi wetu - Msumbiji
TANZANIA inaandaa Mpango wa Kitaifa wa Hatua za Mapema za kujiandaa,
kukabiliana na ukame kwa maeneo yanayokabiliwa na jang...
3 hours ago


No comments:
Post a Comment