Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), Ndg. Ramadhani Kailima na Mkurugenzi wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) Ndg. Thabit Idarus Faina (kulia) wakiongoza kikao cha pamoja cha wajumbe wa menejimenti baina ya Tume hizo mbili leo Julai 17,2025 kilichokutana katika Ofisi za ZEC Mjini Unguja Zanzibar. Kikao hicho ni maandalizi kuelekea kikao cha pamoja cha INEC na ZEC kitakachokutana hivi karibuni kisiwani humo. (Picha na INEC).
Exim Bank yazidi kuwekeza katika maendeleo ya jamii Zanzibar
-
*Na Mwandishi Wetu*
*Zanzibar. Benki ya Exim Tanzania imeendelea kuthibitisha dhamira yake ya
kuchangia maendeleo ya jamii kupitia mpango wake wa Uwajibi...
1 hour ago


No comments:
Post a Comment