Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), Ndg. Ramadhani Kailima na Mkurugenzi wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) Ndg. Thabit Idarus Faina (kulia) wakiongoza kikao cha pamoja cha wajumbe wa menejimenti baina ya Tume hizo mbili leo Julai 17,2025 kilichokutana katika Ofisi za ZEC Mjini Unguja Zanzibar. Kikao hicho ni maandalizi kuelekea kikao cha pamoja cha INEC na ZEC kitakachokutana hivi karibuni kisiwani humo. (Picha na INEC).
UJUMBE WA KATIBU MKUU WA TRAMEPRO KATIKA KUADHIMISHA SIKU YA KIMATAIFA YA
FIGO – 12 MACHI 2026
-
Kwa niaba ya Shirika la Dawa Asilia na Ulinzi wa Mazingira (TRAMEPRO),
napenda kuungana na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania pamoja na
jumuiya ...
1 hour ago


No comments:
Post a Comment