Kwa sasa Majimbo Dodoma yameongezeka na kuwa Mawili, ambapo kata ya kiwanja Cha Ndege kipo katika Jimbo jipya la Mtumba.
Elirehema Geofrey Msuya akijaza Fomu kwa umakini ya nafasi ya Udiwani katika Kata ya Kiwanja Cha Ndege, jimbo la Mtumba Jijini Dodoma.
Elirehema Geofrey Msuya Akipokea Fomu ya nafasi ya Udiwani katika Kata ya Kiwanja Cha Ndege, jimbo la mtumba Jijini Dodoma.
Elirehema Geofrey Msuya Akikagua kwa umakini Fomu aliyojaza ili kutia nia kwenye nafasi ya Udiwani katika Kata ya Kiwanja Cha Ndege, jimbo la mtumba Jijini Dodoma.
Elirehema Geofrey Msuya akijaza Fomu kwa umakini ya nafasi ya Udiwani katika Kata ya Kiwanja Cha Ndege, jimbo la Mtumba Jijini Dodoma.
Elirehema Geofrey Msuya Akipokea Fomu ya nafasi ya Udiwani katika Kata ya Kiwanja Cha Ndege, jimbo la mtumba Jijini Dodoma.
Elirehema Geofrey Msuya Akikagua kwa umakini Fomu aliyojaza ili kutia nia kwenye nafasi ya Udiwani katika Kata ya Kiwanja Cha Ndege, jimbo la mtumba Jijini Dodoma.
No comments:
Post a Comment