Siasa : MC King Msuya Ajitosa kwenye Udiwani Jijini Dodoma - Wazalendo 25 Blog

Glory to Story.

Wednesday, 2 July 2025

demo-image

Siasa : MC King Msuya Ajitosa kwenye Udiwani Jijini Dodoma


WhatsApp%20Image%202025-07-02%20at%2009.52.48
Elirehema Geofrey Msuya (King Msuya )  Amechukua Fomu na Kurejesha ili kujitosa kwenye nafasi ya Udiwani Kata ya Kiwanja Cha Ndege ,Jimbo la Mtumba Jijini Dodoma.

Kwa sasa Majimbo Dodoma yameongezeka na kuwa Mawili, ambapo kata ya kiwanja Cha Ndege kipo katika Jimbo jipya la Mtumba.
WhatsApp%20Image%202025-07-02%20at%2009.52.49
Elirehema Geofrey Msuya akijaza Fomu kwa umakini ya nafasi ya Udiwani katika Kata ya Kiwanja Cha Ndege, jimbo la Mtumba Jijini Dodoma.
WhatsApp%20Image%202025-07-02%20at%2009.52.51
Elirehema Geofrey Msuya Akipokea Fomu ya nafasi ya Udiwani katika Kata ya Kiwanja Cha Ndege, jimbo la mtumba Jijini Dodoma.
WhatsApp%20Image%202025-07-02%20at%2009.52.50
Elirehema Geofrey Msuya Akikagua kwa umakini Fomu aliyojaza ili kutia nia kwenye nafasi ya Udiwani katika Kata ya Kiwanja Cha Ndege, jimbo la mtumba Jijini Dodoma.

No comments:

Post a Comment

Tuwasiliane

Name

Email *

Message *

Contact Form

Name

Email *

Message *