Matukio : DJ Luke Rais wa Jumuiya ya Watanzania DMV 2018 - Wazalendo 25 Blog

Habari Mpya

Glory to Story.


Post Top Ad


26 Mar 2018

Matukio : DJ Luke Rais wa Jumuiya ya Watanzania DMV 2018


Matokeo ya Uchaguzi wa Jumuiya ya Watanzania DMV, Lucas Mukami (DJ Luke) ibuka mshindi wa Urais wa Jumuiya ya Watanzania DMV kwa kura 315, dhidi ya Liberatus Mwang'ombe, aliepata kura 262. akifuatiwa na Rebeca 24.
VICE PRESIDENT Joha 352 Joyce 248. SECRETARY Cleopatra 311 Omby 214 Dotto 70. ASST SECRETARY Saria 360 DMK 23. ASST. TREASURY Magret 263 Mikidadi 329.... BOARD Mashaka 413 Zena 296 Jabil 330. Pius 454 Asha 386 Hamza 295 Ruth 250.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad