![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgogJPQfgc0fmJw4AogxfcxmhuBEjtjZP9ocZQqGGLHnGepdwHroDaJQ_y4Q7ID2n4KYlbt1g1RIGPdDz1Bk-bB_nPPb46B6-W3ZAMDVSkZBmBhu2fgnmYw2VO2uYQntB07wjVZ6dKFHV4m/s640/1.jpg)
Mkurugenzi wa Uhuru FM Angel Akilimali, akikabidhi msada wa vitu mbalimbali ikiwemo vyakula kwa Msimamizi Mkuu wa Kituo cha kulelea Watoto yatima na wasio chini ya malezi ya wazazi wao cha CHAKUWAMA, Hassani Hamis, Wafanyakazi wa Uhuru FM walipofika kituoni hapo, Sinza Jijini Dar es Salaam, leo, kutoa msaada katika kampeni ya "Gusa maisha yake" iliyoanzishwa na kituo hicho cha radio ikiwa ni sehemu ya kumbukizi ya kifo cha Baba wa Taifa, Hayati Mwalimu Nyerere. kulia ni Mtangazaji wa Uhuru FM Aggrey Manzi na wanne kulia ni Meja Rasilimali Watu na Utumishi wa Uhuru FM Paul Mng'ong'o. PICHA ZOTE NA BASHIR NKOROMO
SAFARI KUTOKA OFISI ZA UHURU FM MTAA WA KARIAKOO NA UKAMI KWENDA SINZA ILIPOANZA
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgY1NebyFYjdbwMOoYfe0R-xwUFRV5TR3YlJ7gIT5mPQ3mBE2jaelEsaXTGB0RV57RX8cJdxW-YY4Yi8KMN0m5r-H6pPcwjg4TweWqS1RiF8TNSDxaEKPbYRRjpF0h7xlzqiPIo-0zRYN-S/s640/BN643718.jpg)
Wafanyakazi wa Uhuru FM wakiwa tayari kupanda basi kwa ajili ya safari ya kwenda kwenye Kituo cha kulelea Watoto yatima na wasio chini ya malezi ya wazazi wao cha CHAKUWAMA, Sinza Jijini Dar es Salaam, kutoa msaada katika kampeni ya "Gusa maisha yake" iliyoanzishwa na kituo hicho cha radio ikiwa ni sehemu ya kumbukizi ya kifo cha Baba wa Taifa
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhGYy4aOjjOW7br5njNLy_kQ__EhpnTmpYIaVfzUczcIIncD9NUSy2qv0k3GTwFy-a6O7VUz2UK6rKg5b0hZOTBzsL3vj1QCc85Nwxv9glzuRNS4pUsaTW9v_lnowrfKS0CwwDSNhjDGFaw/s640/BN643726.jpg)
Wafanyakazi wa Uhuru FM wakiwa tayari kupanda basi kwa ajili ya safari ya kwenda kwenye Kituo cha kulelea Watoto yatima na wasio chini ya malezi ya wazazi wao cha CHAKUWAMA, Sinza Jijini Dar es Salaam, kutoa msaada katika kampeni ya "Gusa maisha yake" iliyoanzishwa na kituo hicho cha radio ikiwa ni sehemu ya kumbukizi ya kifo cha Baba wa Taifa
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiJAhDtH_UeHTBz-YkOv3gXzeU6bRfv31aka54TGDuF1raVVVrqBV6hFW-e1WCci_MSQVkcsQR5E007sPNDexjLwlNP4XpWIh4D3yZSQzINXz6z3qyvcfpzLvKESW52xKIa0o5xU-qLq1CW/s640/BN643737.jpg)
Mpihapicha wa Uhuru FM Online TV akiwajibika wakati wa safari hiyo kwenda Sinza
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjPZ3ZPp3jAmAbQn0O598LE100sW1TvlL6xcIiZxQvIkOlJFDg6Pdvgrvhpi9ye7OhuYJ81DvPcxWV1n_TbwjtiALtyVmaLkQltPWlAWMjFEvmI-2XvciB_l4ueFR92_hTCu4C2PAwpAbT_/s640/BN643743.jpg)
Dereva akiwa tayari kwa safari
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhRMPIMkqmIWurqvDAvXAVpaRkVyw2ggCNd837T7PMYPNMO3TRE6WLXo5Ia2wZQhXgk8eC6786T-Nk_0SjwgClNoMnExx3bYvN-Z5MX2Ml6uwpGO3cr8d3S34ZOC863fG3iD3AS45dLAOhR/s640/BN643751.jpg)
Wafanyakazi wa Uhuru FM wakiwa katika basi kwenda Sinza baadhi yao wakitaniana kidogo
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjDvYuWRqqG9ab8V9rXkCWthSLQW00gbCPAPYghNggwdU65iVyU0Qgl2aF-Tp82iGM2r24yv0YftjZe2gFjPf7sbuXrcNnCeWGhMlc-qgbOjawP9fSv78QkdJoB_SP4Z4FzbX_xtCRvQLMA/s640/BN643753.jpg)
Wafanyakazi wa Uhuru FM wakiwa katika basi kwa mapozi mbalimbali kwa ajili ya safari ya kwenda kwenye Kituo cha kulelea Watoto yatima na wasio chini ya malezi ya wazazi wao cha CHAKUWAMA, Sinza Jijini Dar es Salaam, kutoa msaada katika kampeni ya "Gusa maisha yake" iliyoanzishwa na kituo hicho cha radio ikiwa ni sehemu ya kumbukizi ya kifo cha Baba wa Taifa
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhejTpFlC2qqFFbvpPVsYf7ywAeLGDFrls2lFVCpQ9OC9bnXEvzkBdeQTzt4XEJIax0Botd47TdsnpTm5b1lfv0ti8JBvh4hYgzM93MoNKB-84ehoHGo3lN2JCTgJ-AX9BwkkJoJJSesXeN/s640/BN643804.jpg)
"NDIYO TUMEANZA SAFARI" Murugenzi wa Uhuru FM Angel Akilimali (kulia) akiwasiliana, wakati yeye na wafanyakazi wenzake wa Uhuru FM wakiwa katika basi kwa ajili ya safari ya kwenda kwenye Kituo cha kulelea Watoto yatima na wasio chini ya malezi ya wazazi wao cha CHAKUWAMA, Sinza Jijini Dar es Salaam, kutoa msaada katika kampeni ya "Gusa maisha yake" iliyoanzishwa na kituo hicho cha radio ikiwa ni sehemu ya kumbukizi ya kifo cha Baba wa Taifa
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiHMb8B5mozQ04zYDbIlDB5WFo44vouUJwO-E0kARIBgds7Ea4uqb2Atmz1A_VLfAq4CBMQReOi4Ujc3-hrpdujDgh3KAAP2Ebf5fsTq7y2ZbnJZDKGesG1yC3NYgzbMJGp5QZSVXc1OPhu/s640/BN643817.jpg)
Steven Mhina Dungumalo (kushoto) akionekana kuwa mwenye furaha wakati yeye na wafanyakazi wenzake wa Uhuru FM wakiwa katika basi kwa ajili ya safari ya kwenda kwenye Kituo cha kulelea Watoto yatima na wasio chini ya malezi ya wazazi wao cha CHAKUWAMA, Sinza Jijini Dar es Salaam, kutoa msaada katika kampeni ya "Gusa maisha yake" iliyoanzishwa na kituo hicho cha radio ikiwa ni sehemu ya kumbukizi ya kifo cha Baba wa Taifa. Pamoja naye ni Furaha Ruhende
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhaXGUexVTWX3C283ZDB8BgJFCmHbTQWBA78L4QTpgE_iysjumZTrKRKO9NVOOAdZKrHu7APsqENJlkZkuagO-usFhVsskdzEe7vlqTlVvzkLVcRwt-Xbt9r_gk-cVzTLXP4-2pYEcjX8QU/s640/BN643818.jpg)
Mhariri wa habari wa Uhuru FM Pius Ntiga (kulia) ambaye alitangulia kuwasili kwenye kituo hicho cha kulele watoto yatima na wasiokuwa chini ya malezi ya wazazi wao, akiwa tayari kupokea wafanyakazi wenzake mda mfupi kabla hawajawasili. Kituo hicho cha kulelea watoto kipo mtaa wa Ngamia, Sinza
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgrrXmQ8E80QIZ-kP1-Z6NrMjG7G20kWj3jnxd-H8BjFmi-rpERE2da_IbGLMp1UCWHbzEDCNLV5SWuXi8mW4hsk1Vy91qEJQuFc9xSDPlxlDLZuH2MxchLE4ORWGsSzJmxzCIjiiUGN4Lv/s640/BN643821.jpg)
Timu ya wafanyakazi wa Uhuru FM wakionekana baadhi yao kutafakari jinsi watakavyofanikisha utoaji msaafa kwa watoto wa kituo hicho cha kulelea watoto, Sinza
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiyum947papIfRq3YdLtO7eV18UAS9G5kAn2cA3e6l9M29c97ofIBTdkU0tH6D5X3SrWtPn_kQnjxiBcwnF4rRhQEY-oTcgp685fovt3TiSVcN4BAiRmUgXtqJWsK9HGMkB7N8DDi6N6SLM/s640/BN643827.jpg)
DJ Machachari wa Uhuru FM Dast Edie akitia pozi baada ya kushuka kwenye basi
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhVElRwH4HPuIgvWQHxO3kGCn-Etocshpm4m5YHhizBVh4F_hiDfipbcTDYNOmMkirxlmdLaqBh6yxMBFS002DeUt9CkjymNSIFxNK0uiKhtYTd3r_wdWQbcj9AkEKzlX186aZPT4IUdKaG/s640/BN643831.jpg)
Mtangazaji wa Uhuru FM Sigori akishuka na furushi la zawadi
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhHGnUZ-VORIOW79Rgi6uXzrYLzSGArFJXFmFlENcWB6J7CdJ43NgiiD5ZlXktSluAmu7fXljPlJsq3SZgJ7FKF7vj7iePF-HeerqQFsFKNTQdi_eFD7rTk38l8ElQ5tYht10EOxU9Prnt1/s640/BN643839.jpg)
Angel Akilimali na mwenzake baada ya kushuka kwenye gari
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg1rj3S00GKUymnSRbrDAB1Gku4-_SC6oSX4KQskUC48XU1AzHeeKXBjYA44iQ5C0uv49FolpSgatSBkl-eQrjzOUgOvHdibqYr2SeZcuiiECBneHIME0-umoaOIvFIKrOhWW7KfHx2xPdh/s640/BN643842.jpg)
Kituo cha CHAKUWAMA
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhmknBVlrf6c-qWyzJ-YQKY6uEqJHCAvuQMlpPlKkd3z3kEDNEUjkefEdz8p0XVP6NeS9-MYcUKS-Lu4ed_Y0MJBfRUzG5QyDkJo9pAc_uOss8EVHeWe7UqS7sTQ-OEomfEVQgvlep9ksD-/s640/BN643844.jpg)
Wafanyakazi wa Uhuru FM wakiwa na wadau wengine nje ya kituo hicho wakisubiri kukaribishwa
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjJZlVQj7-zPsmskRp_mS1p3LJo3K_UZbRDAS16cpUUCo3v-WcASfX-YmRka-GbPLIf5H05wh7g8qesYSFo4fpiP6FF_nLmdoDvrcfdDb-VrGJw4-urVWDI7UB7Mv8Kx8KVFkHWi0h6W0MT/s640/BN643848.jpg)
Mwandishi wa Channel Ten akisalimiana na Mwandishi wa Uhuru FM Joyce Njarabi baada ya kukutana kwenye eneo la tukio. kulia ni mwandishi wa Uhuru Publications Ltd, Njumai Ngota na kushoto ni Steven Mhina wa Uhuru FM
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhm_h4-o0iiP0W1oSr0MzMFPoqAf8uTIMlHCrMhappVwiqlucRc0IBrsQDV4O07Ocq67hectPkZkhpPDFqTxYo5256pIupt7viDgohyphenhyphenEOtblLpRHB5QThWPZZVNAZEjXlWt2n-pq7M8XKTA/s640/BN643859.jpg)
Mwandishi wa Channel Ten Said Makala akinong'onezwa jambo na Sheila Simba wa Uhuru FM wakati wa shughuli hiyo. Kushoto ni Steven Mhina wa Uhuru FM
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjyJMRBsKAvedi-VZo84fcF40xeZL12vnO5yqeZnq16DbKA8f9VqDafWJxlATOqD1Ml5cm5enN2pitQRNDaBeVEezrKyKIKV-2GzJQAnQEYnt14up6YcI2rEL-ckCLFvkMO13NQ_TCYT0S4/s640/BN643893.jpg)
Vitu mbalimbali vikiwemo vyakula vikiwa vimeandaliwa kwa ajili ya msaada huo
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiIuuFpwNpUfSrsG8L1ggI2DJqbKR0uS1Lb2Nq9WhNm4sVK6lnCV63nc9UGXH5GMKVPmDt8SSn-RXiqcXFX5V2gxaRH4xTuEC2IZqPILR8-kvlohCKYjc8Y8lwl0hiin9kzznV9EPJun1Wa/s640/BN643911.jpg)
Watangazaji wa Uhuru FM Steven Mhina na Sheila Simba wakiwa tayari kutangaza Mbashara tukio hilo la utoaji msaada
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiSeMiC2GkyGUjnCvp3uFbksQsEiuEx9zZd6XjSjYsuSEXGwaALz6-gofmWSdYnfHqIO9kwdKxRDKAPHyjvInphrFsx7V-Gogy1y-jU4nvU-lCIhepdc-vX8YxwGHCTz9QNVa-w7TQBp6vU/s640/BN643924.jpg)
Msimamizi Mkuu wa Kituo cha kulelea Watoto yatima na wasio chini ya malezi ya wazazi wao cha CHAKUWAMA, Hassani Hamis (kushoto) akizungumza kabla ya kukabidhiwa msaana huo
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhijRV_VjFy3YymSP484qSGaO07k_N0hPjDj_XrpTPDWyrKaMYxlHke94KjZynmMeyCb-ARNcL9oQZoj6exPdSVsnInNNKymOEyUW_y-rz8ZUEvajYCuLKU8M3fMiZ1gHt085pA4Jm3EDrL/s640/BN643930.jpg)
Mwenyekiti wa maandalizi ya utoaji msaada huo Joyce Njarabi wa Uhuru FM akizungumza kabla ya makabidhiaano ya msaada huo
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEigIiLc6HspbhIhA26NNVOTjemkTFXz4yJRNxi00CuhOnlIGSrxqImpQojaMoz1coCJhu8fywdduBcaGlB907ov9dCObAeCiJAXxLrYWsCtDrJ6dDYbp-USnsksTY45UFM35tS7GTch6i56/s640/BN643945.jpg)
Mkurugenzi wa Uhuru FM Angel Akilimali akizungumza kabla ya kukabidhi msaada huo
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEi6NLOBIzcqjVQzq3hUu__uQ312J2Rp-dQDRY8zTBoq8EkWrwC0ITb88YzP-7GmAeXwMc1ExXGyj5gDh8usPIKHDW6R26ObloOnWV4tSchxjJWVXRwBVYr39vJXGlQ0yDsra9If-j77LOVX/s640/BN643963.jpg)
Mmoja wa watangazaji wa Uhuru FM akiwa amembeba mtoto wa kituo hicho cha kulelea watoto
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgjqrwxNbjWRfw_1IGwk8H9GyDOzexB428GmP8QIe0hBua7gfKkjzUw2X8Kds11O3oTBFrrLxsT2NSXxUk_4_fTNMDy9R5e6bHHk5hNp2yqswQOwGVSwluELxGadblDWJ54VVhIVQ6V6rHo/s640/BN643964.jpg)
Baadhi ya wafanyakazi wa Uhuru FM wakiwa na watoto wa kituo hicho cha kulelea watoto
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgRAp9AENSWW_fFC7qd-_VEu6DmFGNZxG_nxHeqOrRsNIDrph_VxMeU6-_2CMrskPC6t765kaUm6CAKF8VGH1hYxy1L2frgzzvxRGGPjh4xas0UlVSPsFJTNigNlwx5YUTxM_D4IHbpLDgz/s640/BN643966.jpg)
Furaha Ruhende wa Uhuru FM akiburudika muziki na watoto wa kituo hicho
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiasd21fgHL6LAcH8gf3kipPocjXHaGz0Y_FAzWEAZN30DunxoE0Z9_pEy8y2QD3lYw1cARLdFT-cMx4TqLUH-Ra4YDvUNMOrdN2LQM3LucvCGp89bAdpNOQLWSx6cyTG-nocwu-SHb3vGf/s640/BN643966A.jpg)
Mmoja wa watoto wa kituo hicho akisinzia kwa raha zake wakati amebebwa na mfanyakazi wa Uhuru FM
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEi2d84nO50nsEkz0Xk-GEOGTop5jl9W-ZSm9994HQun6aLLifsJxSBOnUxVOpS9Xbk8mL3dwfFKen3Kb4VJUn-ZK447JBfSd_IlhwS0-LYostbv2u_bToGfeNKVOgtkwrJcPBfzDNYgT42k/s640/BN643966B.jpg)
Baadhi ya wafanyakazi wa Uhuru FM wakiwa na watoto wa kituo hicho cha kulelea watoto
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjfuytOStS6uAmeuPrsCJ7Xttj8xrhpbCJnbzDHw5RD19oXZi9BsQPMFP67vM3rohvumZh5KiSv_LID90SWo8xZuaCL6051UQ4Wh3GYWdRwyiUDSEm6_3cMWug3BplT_bhbTULe0gDDLWBy/s640/BN643966C.jpg)
Baadhi ya wafanyakazi wa Uhuru FM wakiwa na watoto wa kituo hicho cha kulelea watoto
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg0j_7pFrsxn6pt7gx5Uyi6v6jOdBjNJeSmDQGgZGgakCm5EykqKVwbGwWcglP1REKp_Orj-JCjgzISafN2gTIg_XK8J0Rnzymqd-e9SaxbAjbJJe7NxHbR3R0Sc_kQ4qD3p7AW57KQIrbQ/s640/BN643966D.jpg)
Mkurugenzi wa Uhuru FM Angel Akilimali akiwa na mtoto wa kituo hicho
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgUsZig76cTA71jUkMn_sL23pT56xgS_GaSHfRoTSR8dsK0bRyUgo5Rpo5-PF1JFCXfnb7uciBt5P2-1Pq2PUVtIpJ0MCZWEaSIrorosiOzXrfZEWcBw-DMKsqcEw6m5InovP4y_apTR4BY/s640/BN643966F.jpg)
Cesy Jeremiah wa Uhuru FM akipiga stori na mtoto wa kituo hicho
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgd3EXDEDo2KyoRuPNOR1mFgCG4niANh72pTc7hp_CcLAPEoqr-txJDLz51CgiYv6wf-IbIGMVoDd4x75IbAEXDll89rPxM_14W9IPENL_Tm1STfGmpdAmuNNe2zhBiHCKpjHJYiip7-ynd/s640/BN643966G.jpg)
Mkurugenzi wa Uhuru FM Angel Akilimali akimfurahia mtoto wa kituo hicho
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjTmzaKOvMPnc2ioN7eYz03F9skjRYbSg7E6SsEvVSUtjGSnuXXxyZywMRRF9Xo9xsHEmBYGuADGnlWJKws22_JxigUoHuzN8-fpC9Q0LpSrahGhc_YydKh4OKU_GtKqnrqDNX5wlB_kExR/s640/BN643966H.jpg)
Mkurugenzi wa Uhuru FM Angel Akilimali akimfurahia mtoto wa kituo hicho
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEj8RVdquC2uhfDaJvcq7texHg_tmQbEH07TXFi9VJpYCdlAlYnTV4cF974lglWmfBnVUGLYrAn-Kz68gXDGI7pfvbBv0OOw-KIgVKsMDtq2TGrluRHpG-JScV-f7Mzcx5eXUwvx7A1WH4PH/s640/BN643966J.jpg)
Fuaraha ya kusaidia watoto yatima
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjtfRkzwOxlsGrOycvBD0prqGZqGIcbx2DMrnV-c6j5ZhbAxuiH202kyWjrfn_95fNOwmgpYU00e5RnRgmfoCfR69bvu3tCVY7HItmsWCjtJWBBXHqOsn7qZQg84Ehc6V_m1WReU7mLNhyn/s640/BN643966M.jpg)
Baadhi ya wafaanyakazi wa Uhuru FM wakijipa picha ili kubaki na kumbukumbu ya kutembelea kituo hicho cha kuelea watoto
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgns-E_HTKRm65RJ3RE3-MyIXOnriFfBQHlmEfDrpSD0Ydx_1tNEeBREobT2fhPCTx7nHh7U7W1vtkKxzgqmacENneK_e0zrtepgL7DbwYnksv3xTk4jdmWGpvLLYb4BscEIXiXbG6Ggu-G/s640/BN643983.jpg)
Mmoja wa waliolelewa na kituo hicho tangu wakiwa watoto wadogo, Najma Ajuja (15) akizungumza wakati wa kituo kukanidhiwa msaada huo
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEifyvMI51dDtUChOmbmzZRI4yk3B6zsYrAs0vDEzNKiN97Gc8tfW7CkArdC45-nYZBgbuWHsflM14ohIRQSamYEzSb7xXUs77Z_GM40yFlIIL0qBbeHoS9IYH1S93KmRTbKgY2IanNs-lQn/s640/BN643990.jpg)
Furaha Ruhende wa Uhuru FM akiwa amempa simu yake kuifurahia mtoto wa kituo hicho
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhgq-4roLhyphenhyphensDQTYbuVNwCncMv87atTe9Woc2YQwjY9_6Ktjh8uBt47gLNvOB-iiNyh0dQavcvriHcgxqu1oMKC9RtLUGFYzA1hmB1LQMEsH6IWu3nNywXK8Xb3PZ4RvhyphenhyphenaseDcokg9lXW2/s640/BN643994.jpg)
Pius Ntiga na Wenzake wakipata picha kwenye kituo hicho
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjlzy7IBKdIbTTwklENxu69IXPiENcqJYl2LbNJT6_l5tlveFj4KQXTrgDmCPjasyI4GY49f9Pd0T2IfyZ1SDYNDVrW5ZtJZloCny-2t0j3ChLvi823mnSdcZBm_m_UA8452kE4F_jhWH3B/s640/BN643998.jpg)
Uongozi wa Uhuru FM ukiwa tayari kukabidhi msada huo
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEilyC-lYPGfWzoYVLluHzDWm2ylxxI-N9V-9dZQWAr8D7X4dWnrtHQ6e5OXz_vKXV_cOKWjeCBoFI9oAi7tCrSq8OKg4XiAJcvz9m_t9ZRh4VQGQuYQJhx7YjOhjUb0B73G5JoBtVjhTRNL/s640/BN644000.jpg)
Mkurugenzi wa Uhuru FM Angel Akilimali akikabidhi msada wa vitu mbalimbali ikiwemo vyakula kwa Msimamizi Mkuu wa Kituo cha kulelea Watoto yatima na wasio chini ya malezi ya wazazi wao cha CHAKUWAMA, Hassani Hamis, Wafanyakazi wa Uhuru FM walipofika kituoni hapo, Sinza Jijini Dar es Salaam, leo, kutoa msaada katika kampeni ya "Gusa maisha yake" iliyoanzishwa na kituo hicho cha radio ikiwa ni sehemu ya kumbukizi ya kifo cha Baba wa Taifa, Hayati Mwalimu Nyerere. kulia ni Mtangazaji wa Uhuru FM Aggrey Manzi.
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhvpdFbaUMyc7L7_38H-dqXeE2R6v8xPRtwlxzfHVrVwdh7ddK-WFi99OMhc2EtRdhyTc2ze1zR2m9uTh2l8UvkSXmmj0W55bA_a9s-E3Gr85IRQuwwl9THHQtPBX4ZksYf46y9XS4lDikV/s640/BN644004.jpg)
uongozi wa Uhuru FM ukikabidhi Watoto wa kituo hicho baadhi ya vitu vya msaada
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEi521zRXvahHLKS5U-sT1OIwhotMW0A9yPZAgeQj6kMcLKgDGq5zm4GD8TOof2-4DVo5EDxszW564U8oJmpxYe3rxWHTu2dWk1jIuEaKMNjR9h_wRm-sNBnx8JiQq1K7bowptELeagw3dr1/s640/BN644012.jpg)
Watoto wa kituo hicho wakienda kuhifadhi baadhi ya vitu ambavyo Uhuru Fm ilikabidhi
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhhbjcXHhCQOqrE4ppHYMGEAmf7SVeTNVAltVIgDnnWosgJaTrOKvMnqOVhcSsA9kIv2Nzohv5Qi5_kLA24w6ZZFO4k3yUhqpHJPFRkbZKWVzEUqcfYgva_ImhfY93LSPs84Kj5fDfHjV78/s640/BN644020.jpg)
Wafanyakazi wa Uhuru FM wakipeleka eneo la kuhifadhi baada ya makabidhiano ya msaada huo
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgcXAqVAxGVrCZFnsR2wbI9eYC98Q7l5h-5UdijgPafe84XclHWdpsL6xf4S3yZnpXVXX_dOEkVqVIL-XuEAfKIXCsJjo0kCiZ72QoDzL1mv_ZtzJtepj5wBK5STQAGyMAfSQbTigXu8ahw/s640/BN644022.jpg)
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjBdFhjdVm8K-wbXzFL4Bav5QzdyUe_esmqXxdn0pGlgBO3DZqhOBOZGDUif4nGpPjHsl75Aov8TSroLlWa07qrUz18tZ4c2QdbML7iJdL1bnCUINicIwgtey7Hc444Vx0p9FUuec8BlJ3U/s640/BN644036.jpg)
Mtoto wa kituo hicho akiufurahia msaada wa Uhuru FM
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh5gcxE3NWApnz75xV0Z0QzScZ-QtoYhyphenhyphen4zEoNwkP4SQeGd089FB0bZRcVvjts9vP8CcV2BGMqmEWMPRy5uxXcyrHJfEHLVFA6gJxKHvkyvY0xPTmVqb5KGpak1eX2shTVmYCczxPEohDg-/s640/BN644043.jpg)
Mtoto wa Kituo hicho akifurahia msaada uliotolewa na Uhuru FM
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhh0lXEprLdqiwHvcIpLmTiFBNNM9wzLBv0rjPqtshJRAukATIKgxu35Qgxz-yPVl1BxkU9JAufisIhIpNWarBylZ_Bsktp9kMG1J0dFTtGovkooZ83euZQMELPKhfuYeKuiG8H2C2s429-/s640/BN644052.jpg)
Watoto wakishiriki kubeba zawadi
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh7dtnAv24qjG0hSWRnykRGe5eYCD5lKMHIxgSoiuI5KxLtANy8vBB0V2wjxbgJ_QefSmOlUlf9xfVvRC-lPFuSn7G-EbqFIhi341shQiqq72jiHsUAPFFyoXyPl39OYcWqqVRfs1TbuvPU/s640/BN644059.jpg)
Meneja rasiliamali watu na Utumishi wa Uhuru FM Paul Mng'ng'o akizungumza na Watangazaji wa Uhuru FM Sheila Simba na Steven Mhina baada ya Uhuru Fm kukabidhi msaada huo
No comments:
Post a Comment