Matukio : Timu ya Yanga yaifunga Kagera Sugar 2 -1 - Wazalendo 25 Blog

Glory to Story.

PRINTING / GRAPHICS / DESIGN : 0784 643 633

Sunday, 15 October 2017

demo-image

Matukio : Timu ya Yanga yaifunga Kagera Sugar 2 -1


2Kikosi kilichoanza cha Timu ya Kagera Sugar leo dhidi ya Timu ya Yanga SC ya Jijini Dar es salaam kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania. Mchezo huu umepigwa kwenye Uwanja wa Kaitaba Mjini Bukoba. Picha na Faustine Ruta, Bukoba.1
Kikosi cha Timu ya Yanga SC kilichoanza.
4
Timu zote mbili zikisalimiana kabla ya mchezo kuanza
5
Mgeni rasmi nae alipata muda akasalimia Timu zote mbili.

6Timu ya Yanga Sc leo hii kwenye Uwanja wa Kaitaba wameibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya wenyeji Kagera Sugar katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania. Ushindi huo, unaifanya Yanga ifikishe pointi 12 baada ya kucheza mechi sita, Hadi mapumziko Yanga mdio walikuwa mbele kwa bao 1-0 dhidi ya Timu ya Kagera Sugar.

013A8562
Bao hilo lilifungwa na Obrey Chirwa dakika ya 38 baada ya kumzidi ujanja beki wa Kagera Sugar Juma Nyosso na kumfunga kipa Juma Kaseja. Kipindi cha Yanga pili Yanga walifanikiwa kufunga tena bao lingine dakika ya 47 bao lililofungwa na Hajib baada ya kupewa pasi nzuri na Chirwa.
Dakika ya 52 Jaffar Kibaya alimfunga kipa wa Yanga kwa aliunganisha krosi kwa kichwa krosi iliyopigwa na Venence Ludovic. Mchezo huu umewapandisha Yanga kileleni kwa alama 12 huku Timu ya Kagera Sugar ikizidi kudidimia kwenye eneo hatari la mkiani.1O3A8746
Mchezaji beki wa Timu ya Kagera Sugar Juma Nyosso akikwaana na Chirwa kugombea mpira wa kichwa.
1O3A8758
Chirwa tena na Beki wa Kagera Sugar Juma Nyosso.
1O3A8769
1O3A8784
Obrey Chirwa akishangilia bao lake dakika ya 38 kipindi cha kwanza
1O3A8786
Chirwa mbele akishangilia bao lake kipindi cha kwanza baada ya kuifanikishia bao la kuongoza Timu yake ya Yanga. Picha na Faustine Ruta, Bukoba.
1O3A8787
1O3A8791
Gadiel Michael akimpongeza Chirwa
1O3A8795
Shangwe kwa Wanayanga!
1O3A8796
Chirwa akipongezwa na benchi la ufundi na kupewa mbinu zaidi za kuongeza bao. Yanga imeshinda bao 2-1 dhidi ya Timu ya Kagera Sugar. Picha na Faustine Ruta, Bukoba.
1O3A8800
1O3A8801
1O3A8836
1O3A8840
1O3A8842
1O3A8844Shangwe kwa Yanga baada ya kufunga bao la pili kupitia kwa Hajib dakika 47.
1O3A8845
1O3A8857
1O3A8863
1O3A8870
1O3A8875
1O3A8876
1O3A8889
1O3A8943
Juma K Juma mlinda lango la Kagera Sugar akiwa hoi baada ya mchezo kumalizika kwa bao 2-1 dhidi ya Timu Kongwe ya Yanga SC kwenye Uwanja wa Kaitaba.
03A8700
Faustine Ruta wa www.bukobasports.com(kulia) akiwa sambamba na blogger mwenzake MC Baraka wa Bukobawadau blog kwenye Uwanja wa Kaitaba Mjini Bukoba leo wakati wa Mapumziko.013A8599
Kikosi cha Kagera Sugar kilikuwa: Juma Kaseja, Mwaita Gereza, Adeyoum Ahmed, Juma Shemvuni, Juma Nyosso, Ally Iddi, Venence Ludovic, Ozuka Okochukwu, Jaffar Kibaya, Omar Daga na Christopher Edward/Themi Felix dk 64.
Kikosi cha Timu ya Yanga SC: Youthe Rostand, Juma Abdul, Gardiel Michael, Andrew Vincent, Kelvin Yondani, Said Juma Makapu/Raphael Daudi dk57, Pius Buswita, Papy Tshishimbi, Obrey Chirwa/Obrey Chirwa dk93, Ibrahim Hajib na Geoffrey Mwashiuya/Emmanuel Martin dk62.
013A8614
013A8621
Mashabiki waliingia kwa wingi Kaitaba leo
013A8664
013A8665
013A8689
Mashabiki wa Timu ya Yanga walilizunguka Basi la Timu hiyo mara baada ya Mchezo kumalizika kwa Yanga SC kushinda bao 2-1 dhidi ya wenyeji Kagera Sagar.
013A8692Mashabiki wa Timu ya Yanga wakiwa wazunguka basi la Timu ya Yanga mara baada ya mchezo kumalizika nje ya Uwanja. Picha na Faustine Ruta, Bukoba
013A8699Mashabiki walitoka mapema Uwanjani, Huku wengi wakiteta juu ya Timu ya Kagera Sugar kuwa haina jipya kwa sasa. Baada ya kucheza michezo kadhaa na kupoteza huku ikiwa eneo baya la mkiani kwenye msimamo wa Ligi kuu Vodacom Tanzania Bara.

No comments:

Post a Comment

Contact Form

Name

Email *

Message *

Tuwasiliane

Name

Email *

Message *