Matukio : Rais Dk. Magufuli Alipohitimisha ziara yake ya Kikazi ya Siku Tano Mkoani Tanga - Wazalendo 25 Blog

Glory to Story.

PRINTING / GRAPHICS / DESIGN : 0784 643 633

Monday, 7 August 2017

demo-image

Matukio : Rais Dk. Magufuli Alipohitimisha ziara yake ya Kikazi ya Siku Tano Mkoani Tanga



IMGS2094


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akihutubia maelfu ya wananchi waliojitokeza kushuhudia uzinduzirasmi wa Stendi ya mabasi mpya na ya kisasa ya mji wa Korogwe mkoani Tanga katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017

IMGS2100


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akihutubia maelfu ya wananchi waliojitokeza kushuhudia uzinduzirasmi wa Stendi ya mabasi mpya na ya kisasa ya mji wa Korogwe mkoani Tanga katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017

IMGS2141


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na wajumbe wa kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya ya Korogwe kwenye uzinduzi rasmi wa Stendi ya mabasi mpya na ya kisasa ya mji huo katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017

IMGS2142


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na wajumbe wa kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya ya Korogwe kwenye uzinduzi rasmi wa Stendi ya mabasi mpya na ya kisasa ya mji huo katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017

IMGS2143


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na wajumbe wa kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya ya Korogwe kwenye uzinduzi rasmi wa Stendi ya mabasi mpya na ya kisasa ya mji huo katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017

IMGS2145


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na wajumbe wa kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya ya Korogwe kwenye uzinduzi rasmi wa Stendi ya mabasi mpya na ya kisasa ya mji huo katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017

IMGS2146


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na wajumbe wa kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya ya Korogwe kwenye uzinduzi rasmi wa Stendi ya mabasi mpya na ya kisasa ya mji huo katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017

IMGS2147


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na wajumbe wa kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya ya Korogwe kwenye uzinduzi rasmi wa Stendi ya mabasi mpya na ya kisasa ya mji huo katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017

IMGS2150


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na madiwani wa Halmashauri ya wilaya ya Korogwe kwenye uzinduzi rasmi wa Stendi ya mabasi mpya na ya kisasa ya mji huo katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017

IMGS2161


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizindua rasmi Stendi ya mabasi mpya na ya kisasa ya mji huo katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017

IMGS2171


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwapongeza madiwani na viongozi wengine baada ya kuzindua rasmi Stendi ya mabasi mpya na ya kisasa ya mji huo katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017

IMGS2181


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na wananchi baada ya kuzindua rasmi Stendi ya mabasi mpya na ya kisasa ya mji huo katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017

IMGS2185


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na wananchi baada ya kuzindua rasmi Stendi ya mabasi mpya na ya kisasa ya mji huo katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017

IMGS2196


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na wananchi baada ya kuzindua rasmi Stendi ya mabasi mpya na ya kisasa ya mji huo katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017

IMGS2204


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akienda kuagana na wananchi baada ya kuzindua rasmi Stendi ya mabasi mpya na ya kisasa ya mji huo katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017

IMGS2210


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na mmoja wa wa wananchi baada ya kuzindua rasmi Stendi ya mabasi mpya na ya kisasa ya mji huo katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017

IMGS2218


Moja ya mabango yaliyokuwa na ujumbe wa changamoto mbalimbali za Korogwe

IMGS2219


Wengi walikuwa na kiu ya kusikilizwa kero zao

IMGS2221


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimsikiliza diwani wa kata ya Msima katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017

IMGS2222


Wananchi wakimshangilia Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli aliposimama kwa muda na kuongea nao katika kata ya Msima katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017







IMGS2231


Kikosi kazi cha TBC kikirusha mubashara matukio yote ya ziara ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli. Hapa ni katika Msima katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017

IMGS2233


Kikosi kazi cha TBC kikirusha mubashara matukio yote ya ziara ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli. Hapa ni katika Msima katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017

IMGS2236


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akitambulisha viongozi alioongozana nao kwa wananchi wa kata ya Msima katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017

IMGS2242


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimsimiliza mwalimu wa shule ya msingi ya Msima aliposimama kuzungumza na wananchi kata ya Msima katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017

IMGS2247


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimsikiliza Mkuu wa Mkoa wa Tanga Mhe. Martine Shigella akielezea changamoto mbalimbali za wananchi wa kata ya Msima katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017

IMGS2248


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimkabidhi shilingi milioni 5 taslimu Mwalimu Mkuu wa Shule ya msingi ya Msima kwa ajili ya ujenzi wa vyoo vya shule katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017

IMGS2262




Msafara wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli ukiingia mjini Handeni katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017







IMGS2264


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwasili katika nyumba ya aliyekuwa Mbunge wa Handeni Marehemu Alhaj Dkt. Abfdallah Kigoda katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani Tanga leo Agosti 7, 2017. Pamoja naye ni mjane wa marehemu Mama Kigoda, dada wa Marehemu Mhe, Asha Kigoda na mtoto wa marehemu ambaye pia ni Mbunge wa jimbo hilo Mhe. Omari Abdallah Kigoda

IMGS2270


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli na mkewe Mama Janeth Magufuli waakitoa heshima zao kwenye kaburi la aliyekuwa Mbunge wa Handeni Marehemu Alhaj Dkt. Abfdallah Kigoda nyumbani kwa marehemu mjini Handeni katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani Tanga leo Agosti 7, 2017. Pamoja naye ni mjane wa marehemu Mama Kigoda, dada wa Marehemu Mhe, Asha Kigoda na mtoto wa marehemu ambaye pia ni Mbunge wa jimbo hilo Mhe. Omari Abdallah Kigoda

IMGS2274


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli na mkewe Mama Janeth Magufuli waakitoa heshima zao kwenye kaburi la aliyekuwa Mbunge wa Handeni Marehemu Alhaj Dkt. Abfdallah Kigoda nyumbani kwa marehemu mjini Handeni katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani Tanga leo Agosti 7, 2017. Pamoja naye ni mjane wa marehemu Mama Kigoda, dada wa Marehemu Mhe, Asha Kigoda na mtoto wa marehemu ambaye pia ni Mbunge wa jimbo hilo Mhe. Omari Abdallah Kigoda

IMGS2277


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli na mkewe Mama Janeth Magufuli waakitoa heshima zao kwenye kaburi la aliyekuwa Mbunge wa Handeni Marehemu Alhaj Dkt. Abfdallah Kigoda nyumbani kwa marehemu mjini Handeni katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani Tanga leo Agosti 7, 2017. Pamoja naye ni mjane wa marehemu Mama Kigoda, dada wa Marehemu Mhe, Asha Kigoda na mtoto wa marehemu ambaye pia ni Mbunge wa jimbo hilo Mhe. Omari Abdallah Kigoda

IMGS2289


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akilakiwa na Mkuu wa Wilaya ya Handeni Mhe. Godwin Gondwe alipowasili wilayani humo katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017

IMGS2292


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na Mkuu wa Wilaya ya Handeni Mhe. Godwin Gondwe akipungia wanannchi alipowasili katika uwanja wa mikutano wa Kibaoni kuzungumza nao katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017

IMGS2304


Mke wa Rais Mama Janeth Magufuli akiwakipungia wananchi wa Handeni alipowasili katika uwanja wa mikutano kuzungumza nao katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017

IMGS2310


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimia wananchi alipowasili katika uwanja wa mikutano kuzungumza nao katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017

IMGS2317


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimia wananchi alipowasili katika uwanja wa mikutano kuzungumza nao katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017

IMGS2323


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimia wananchi alipowasili katika uwanja wa mikutano kuzungumza nao katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017







IMGS2333


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimia viongozi wa dini na wananchi alipowasili katika uwanja wa mikutano kuzungumza nao katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017

IMGS2339


Mkuu wa Wilaya ya Handeni Mhe. Godwin Gondwe akikaribisha wageni wake wilayani humo katika siku ya mwisho ya ziara Rais ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017

IMGS2352


Sehemu ya maelfu ya wananchi waliojitokeza kumsikiliza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli katika uwanja wa mikutano alipofika kuzungumza nao katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017

IMGS2354


Sehemu ya maelfu ya wananchi waliojitokeza kumsikiliza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli katika uwanja wa mikutano alipofika kuzungumza nao katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017

IMGS2355


Sehemu ya maelfu ya wananchi waliojitokeza kumsikiliza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli katika uwanja wa mikutano alipofika kuzungumza nao katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017

IMGS2365





IMGS2368


Mke wa Rais Mama Janeth Magufuli akisalimia wananchi wa Handeni katika uwanja wa mikutano kuzungumza nao katika siku ya mwisho ya ziara ya Rais ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017

IMGS2382


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na wananchi wa Handeni katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017

IMGS2391


Sehemu ya maelfu ya wananchi waliojitokeza kumsikiliza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli katika uwanja wa mikutano alipofika kuzungumza nao katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017

IMGS2394


Sehemu ya maelfu ya wananchi waliojitokeza kumsikiliza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli katika uwanja wa mikutano alipofika kuzungumza nao katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017

IMGS2397


Mkuu wa Wilaya ya Handeni Mhe. Godwin Gondwe akitolea ufafanuzi baadhi ya changamoto wilayani humo leo Agosti 7, 2017

IMGS2440


Mmoja wa wananchi wa Handeni akitoa kero zake mbele ya Rais Magufuli

IMGS2445


Rais Magufuli akimfariji mwananchi huyo kwa matatizo yaliyomsibu

IMGS2458


Mmoja wa wananchi wa Handeni akitoa kero zake mbele ya Rais Magufuli

IMGS2464


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuliakiagana na viongozi na wananchi wa Handeni baada ya kuwahutubia katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017

IMGS2466


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuliakiagana na viongozi na wananchi wa Handeni baada ya kuwahutubia katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017

IMGS2494


Msafara wa Rais Magufuli ukiendelea na safari

IMGS2506


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiongea na wananchi wa Manga aliposimama kwa muda kuongea nao katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017

IMGS2519


Mbunge wa Handeni Vijijini Mhe. Mboni Mhita akitolea ufafanuzi masuala mbalimbali wakati Rais Magufuli aliposimama kwa muda katika kijiji cha Kwachaga

IMGS2526


Mafundi mitambo wa TBC wakiwa makini kuhakikisha matangazo yanaruka mubashara bila shida

IMGS2534


Mkulima wa kijiji cha Manga akieleza kero wazipatazo kwa wafugaji katika kata ya Kwachuma

IMGS2538


Mmoja wa viongozi wa wafugaji akifafanua hali ilivyo kata ya Kwachuma

IMGS2540


Mkuu wa Wilaya ya Handeni Mhe. Godwin Gondwe akitoa maelezo ya changamoto mbalimbali katika kata ya Kwachuma

IMGS2562


Rais Dkt. Magufuli akiagiza kuondolewa kwa Hakimu wa Mahakama ya Mwanzo ya Mazingara baada ya wananchi na Mkuu wa Wilaya kudai amekuwa akitoa uamuzi usiotoa haki kwa wakulima

IMGS2569


Mkuu wa Mkoa wa Tanga Mhe. Martine Shigella akimuaga rasmi Rais Dkt. Magufuli na kumshukuru kwa kutembelea mkoa huo kwa siku tano

IMGS2587


Mke wa Rais Mama Janeth Magufuli akisalimia wananchi wa kata ya Kwachuma

IMGS2589


Mke wa Rais Mama Janeth Magufuli akisalimia wananchi wa kata ya Kwachuma

IMGS2590


Rais Dkt. Magufuli akiaga wananchi wa kata ya Kwachuma

IMGS2594


Rais Dkt. Magufuli akiagana na viongozi wa mkoa wa Tanga baada ya kuongea na wananchi wa kata ya Kwachuma

IMGS2595


Rais Dkt. Magufuli akiagana na viongozi wa mkoa wa Tanga baada ya kuongea na wananchi wa kata ya Kwachuma

IMGS2599


Rais Dkt. Magufuli akiagana na viongozi wa mkoa wa Tanga baada ya kuongea na wananchi wa kata ya Kwachuma

IMGS2605


Kabla ya kuondoka Rais Dkt. Magufuli aliongea na wanafunzi wa shule za kata ya Kwachuma

IMGS2607


Rais Dkt. Magufuli akiongea na wanafunzi wa shule za kata ya Kwachuma

IMGS2612


Rais Dkt. Magufuli akimsikiliza mwanafunzi Mwajuma Omari Mbwewe IMGS2620


Rais Dkt. Magufuli akijibu maswali ya mwanafunzi huyo wa shule za kata ya Kwachuma

IMGS2624


Rais Dkt Magufuli akiagana na mwanafunzi Mwajuma Omari Mbwewe baada ya kujibu maswali yake

IMGS2650


Akiwa njiani msafara wa Rais Dkt. Magufuli ulisimamishwa na umati mkubwa wa watu maeneo ya Bunju A wilaya ya Kinondoni nje kidogo ya jiji la Dar es salaam ambapo ikambidi asimame na kuongea nao

IMGS2655


Umati mkubwa wa watu maeneo ya Bunju A wilaya ya Kinondoni nje kidogo ya jiji la Dar es salaam ambapo ukimsikiliza Rais Magufuli

IMGS2658


Rais Dkt. Magufuli akiongea na umati mkubwa wa wananchi uliomsimamisha maeneo ya Bunju A wilaya ya Kinondoni nje kidogo ya jiji la Dar es salaam

IMGS2666


Rais Dkt. Magufuli akisikiliza kero za wafanyabiashara wadogo maeneo ya Bunju A wilaya ya Kinondoni nje kidogo ya jiji la Dar es salaam

IMGS2669


Kama kawaida ujumbe ulikuwepo

IMGS2697


Rais Dkt. Magufuli akimfariji mmoja wa wafanyabiashara wadogo waliopata changamoto eneo la Bunju A

IMGS2701


Rais Dkt. Magufuli akishangiliwa na umati wa wananchi uliomsimamisha maeneo ya Bunju A wilaya ya Kinondoni nje kidogo ya jiji la Dar es salaam

IMGS2707


Rais Dkt. Magufuli akishangiliwa na umati wa wananchi uliomsimamisha maeneo ya Bunju A wilaya ya Kinondoni nje kidogo ya jiji la Dar es salaam

IMGS2708


Rais Dkt. Magufuli akishangiliwa na umati wa wananchi uliomsimamisha maeneo ya Bunju A wilaya ya Kinondoni nje kidogo ya jiji la Dar es salaam

IMGS2721


Rais Dkt. Magufuli akiagana na umati wa wananchi uliomsimamisha maeneo ya Bunju A wilaya ya Kinondoni nje kidogo ya jiji la Dar es salaam

IMGS2728


Rais Dkt. Magufuli akiagana na umati wa wananchi uliomsimamisha maeneo ya Bunju A wilaya ya Kinondoni nje kidogo ya jiji la Dar es salaam. Picha na IKULU

No comments:

Post a Comment

Tuwasiliane

Name

Email *

Message *

Contact Form

Name

Email *

Message *