Elimu : Wakuu wa Vyuo vya Maendeleo na Jamii Waendelea na Mafunzo, Morogoro - Wazalendo 25 Blog

Habari Mpya

Glory to Story.


Post Top Ad


3 Aug 2017

Elimu : Wakuu wa Vyuo vya Maendeleo na Jamii Waendelea na Mafunzo, Morogoro



Mkuu wa Chuo cha Maendeleo ya Jamii na Mwenyekiti wa Mafunzo Bw. Paschal Mahinyila akiwakaribisha washiriki katika mafunzo Wakuu wa vyuo hao kuhusu Udhibiti wa Viashiria Hatarishi katika Utendaji wa Vyuo hivyo yanayofanyika katika ukumbi wa Wakala wa Mbegu za miti mkoani Morogoro leo tarehe 01.08.2017.

Mkurugenzi wa Maendeleo ya Jamii Bw. Patrick Golwike (kushoto) akifafanua umuhimu wa uadilifu kwa Wakuu wa Vyuo vya Maendeleo ya Jamii(hawapo pichani) katika utendaji kazi wa vyuo wakati wa mafunzo kwa wakuu wa vyuo hao kuhusu Udhibiti wa Viashiria Hatarishi katika Uendeshaji wa Vyuo hivyo yanayofanyika katika ukumbi wa Wakala wa Mbegu za miti, mkoani Morogoro leo.

Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali Watu kutoka Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee na Watoto Bibi Deodata Makani(kulia) akifafanua mambo mbalimbali ya kiutawala kwa Wakuu wa Vyuo vya Maendeleo ya Jamii nchini katika mafunzo kwa wakuu wa Vyuo hao kuhusu Udhibiti wa Viashiria Hatarishi katika Utendaji wa Vyuo hivyo yanayofanyika katika ukumbi wa Wakala wa Mbegu za miti, mkoani Morogoro leo.

Mhasibu Mkuu kutoka Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee na Watoto Bibi Fatuma Oloo(kulia) akisisitiza jambo kuhusu udhibiti wa fedha kwa wakuu wa vyuo vya Maendeleo ya Jamii nchini katika mafunzo kwa wakuu wa vyuo hao kuhusu Udhibiti wa Viashiria Hatarishi katika Utendaji wa Vyuo hivyo yanayofanyika katika ukumbi wa Wakala wa Mbegu za miti, mkoani Morogoro.

Mkurugenzi wa Ugavi na Manunuzi kutoka Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee na Watoto Bibi Martha Chuma (katikati) akifafanua mambo mbalimbali yahusuyo ugavi na manunuzi kwa wakuu wa Vyuo vya Maendeleo ya Jamii nchini katika mafunzo kwa wakuu wa Vyuo hao kuhusu Udhibiti wa Viashiria Hatarishi katika Utendaji wa Vyuo hivyo yanayofanyika katika ukumbi wa Wakala wa Mbegu za miti, mkoani Morogoro.

Mkuu wa Kitengo cha Sheria kutoka Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee na Watoto Bi. Vickness Mayao(kulia) akitoa maelekezo kuhusu mikataba na masuala mbalimbali ya kisheria kwa wakuu wa vyuo vya Maendeleo ya Jamii nchini katika mafunzo kwa wakuu wa Vyuo hao kuhusu Udhibiti wa Viashiria Hatarishi katika Utendaji wa Vyuo hivyo yanayofanyika katika ukumbi wa Wakala wa Mbegu za miti, mkoani Morogoro.

Mkaguzi wa ndani kutoka Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee na Watoto Bibi. Elightness Mchome(katikati) akifafanua umuhimu wa kuepuka hoja za ukaguzi kwa wakuu wa vyuo vya Maendeleo ya Jamii nchini katika mafunzo kuhusu Udhibiti wa Viashiria Hatarishi katika Utendaji wa Vyuo hivyo yanayoendelea katika ukumbi wa Wakala wa Mbegu za miti, mkoani Morogoro.

Mkuu wa Chuo cha Maendeleo ya Jamii Monduli Bw. Salim Mgalla(kulia) akiuliza swali kwa wawezeshaji katika mafunzo kwa wakuu wa vyuo vya Maendeleo ya Jamii nchini katika mafunzo kwa wakuu wa vyuo hao kuhusu kuhusu Udhibiti wa Viashiria Hatarishi katika Utendaji wa Vyuo hivyo yanayofanyika katika ukumbi wa Wakala wa Mbegu za miti, mkoani Morogoro


Baadhi ya wakuu wa vyuo vya Maendeleo ya Jamii Nchini wakifuatilia wawasilishaji mada(hawapo pichani) katika mafunzo kwa wakuu wa vyuo hao kuhusu Udhibiti wa Viashiria Hatarishi katika Utendaji wa Vyuo hivyo yanayofanyika katika ukumbi wa Wakala wa Mbegu za miti, mkoani Morogoro.

Mratibu wa Usimamizi wa Viashiria Hatarishi Bw. Moris Jackson akifafanua masuala mbalimbali yahusuyo Viashiria Hatarishi kwa wakuu wa vyuo vya maendeleo ya Jamii Nchini katika mafunzo kwa wakuu wa vyuo hao kuhusu Udhibiti wa Viashiria Hatarishi katika Utendaji wa Vyuo hivyo yanayofanyika katika ukumbi wa Wakala wa Mbegu za miti, mkoani Morogoro.

Kaimu Mkuu wa Chuo (Utawala, Mipango na Fedha) Kutoka Chuo cha Maendeleo ya Jamii Ruaha Bi.Nadhaherieth Mshighath akiuliza swali kwa wawasilishaji mada (hawapo pichani) katika mafunzo kwa wakuu wa vyuo hao katika mafunzo kwa wakuu wa vyuo hao kuhusu Udhibiti wa Viashiria Hatarishi katika Utendaji wa Vyuo hivyo yanayofanyika katika ukumbi wa Wakala wa Mbegu za miti, mkoani Morogoro.



Watendaji kutoka Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee na Watoto na washiriki kutoka Vyuo vya Maendeleo ya Jamii nchini wakifuatilia kwa makini mafunzo ya Udhibiti wa Viashiria Hatarishi katika Utendaji wa Vyuo vya Maendeleo ya Jamii nchini yanayofanyika katika ukumbi wa Wakala wa Mbegu za miti, mkoani Morogoro 01.08.2017.


Picha na Erasto Ching’oro WAMJW.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad