Maisha : Mhe. Tundu Lissu Apata Dhamana - Wazalendo 25 Blog

Habari Mpya

Glory to Story.


Post Top Ad


27 Jul 2017

Maisha : Mhe. Tundu Lissu Apata Dhamana








Tundu Lissu, hatimaye amepata dhamana baada ya ombi la mawakili wa serikali la kuomba mahakam imnyime dhamana kutupiliwa mbali.




Hakimu Mkuu Mkazi wa Mahakama ya Kisutu, Wilbard Mashauri amesema, baada ya kupitia hoja za serikali na majibu ya mawakili wa utetezi, haoni mantiki ya kuzuia dhamana kwa Lissu.




Hivyo , Hakimu Mashauri amemtaka Lissu kuwa na wadhamini wawili wanaoaminika ambapo kila mmoja atasaini bondi ya Sh. 10 milioni.




Kesi imeahirishwa kwa muda kusubiri Lissu atimize masharti aliyopewa.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad