Siasa : Taswira mbalimbali Za Mkutano Mkuu wa CCM, Dodoma - Wazalendo 25 Blog

Glory to Story.

Monday, 13 March 2017

demo-image

Siasa : Taswira mbalimbali Za Mkutano Mkuu wa CCM, Dodoma


IMGS1171
Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa Jamhuri wa Tanzania, Dk. Joseph Magufuli akiwahutubia wajumbe wapatao 2356,ambapo walipaswa kuwa wajumbe 2380 mkutano Mkuu Maalum wa CCM ambao ulikuwa una lengo kuu la kufanya baadhi ya mabadiliko ndani ya Katiba,ambayo yamepitishwa kwa asilimia 100 na wajumbe hao waliohuhudria mkutano huo.
OTH_7320
Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Abdulrahman Kinana akizungumza mambo mbalimbali mbele ya wajumbe waliohudhuria katika Mkutano Mkuu Maalum mjini Dodoma.
OTH_3872
Baadhi ya Wajumbe wa Mkutano Mkuu Maalum wa CCM wakiburudika kwa shangwe na vifijo kutoka kikundi cha TOT Plus kabla ya kuanza mkutano huo ndani ya Ukumbi wa Kikwete mjini Dodoma.
OTH_3881
Baadhi ya Wajumbe wa mkutano mkuu Maalum wa CCM wakishangilia kwa shangwe huku wakiwa na mabango yao yakionesha mikoa wanayoiwakilisha.


OTH_3885
Malkia wa mipasho Afrika Mashariki Khadija Kopa akitunbuiza pamoja na bendi ya TOT kwenye mkutano huo.
OTH_3894
Baadhi ya Wajumbe wa mkutsno mkuu wa CCM wakishangilia kwa shangwe huku wakiwa na mabango yao yakionesha mikoa wanayoiwakilisha.


OTH_3902
Malkia wa mipasho Afrika Mashariki Khadija Kopa akitunbuiza pamoja na bendi ya TOT


OTH_3930
Sehemu ya baadhi ya wajumbe wa mkutano Mkuu Maalum wa CCM wakiwa tayari ukumbini wakisubiri kuanza kwa mkutano huo.
OTH_3932
Sehemu ya baadhi ya wajumbe wa mkutano huo pamoja na wageni waalikwa


OTH_3934
Sehemu ya baadhi ya wajumbe wa mkutano huo pamoja na wageni waalikwa
RG1A0483
Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa Jamhuri wa Tanzania, Dk. Joseph Magufuli akisalimiana na Waziri Mkuu Mh. Kasim Majalia wakati akiwasili katika ukumbi wa mkutano mkuu wa CCM, Mjini Dodoma
RG1A0487
Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa Jamhuri wa Tanzania, Dk. Joseph Magufuli akisalimiana na Rais Mstaafu wa awamu ya nne, Dk. Jakaya Kikwete wakati akiwasili katika ukumbi wa mkutano mkuu wa CCM, Mjini Dodoma
RG1A0503
Wake za viongozi,pichani kulia ni Mama Janeth Magufuli pamoja na Mama Mwema Shein wakijadiliana jambo kabla ya Mkutano Mkuu Maalum kuanza mapema leo katika ukumbi wa Kikwete,mjini Dodoma.


5R7A3154
Baadhi ya Wake za viongozi mbalimbali wakifuatilia mkutano huo
5R7A3192
Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa Jamhuri wa Tanzania, Dk. Joseph Magufuli akiwa pamoja na viongozi wengine wastaafu wa Serikali na kichama walipowasili kwenye ukumbi wa mkutano na kukaribishwa na wajumbe.
5R7A3213
Baadhi ya wajumbe wa Mkutano Mkuu kutoka mkoa wa Tanga wakifuatia yaliyokuwa yakijiri ukumbi humo.
5R7A3244
Baadhi ya wajumbe wa Mkutano Mkuu Maalum wa CCM kutoka mkoa wa Lindi. Kulia ni Mbunge wa kuteuliwa Mama Salma Kikwete akiwa pamoja na Mbunge wa Mtama, Mh. Nape Nnauye wakifuatilia mkutano huo
5R7A3250
Sehemu ya wajumbe hao wakifuatilia Hotuba ya Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa Jamhuri wa Tanzania, Dk. Joseph Magufuli (Hayupo pichani)
5R7A3272
Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa Jamhuri wa Tanzania, Dk. Joseph Magufuli akihutubia mkutano huo
OTH_7169
Kikundi cha ngoma za kabila la Wagogo, Majeleko wakitoa burudani katika mkutano huo
RG1A0483
RG1A0487




5R7A3154


5R7A3192


5R7A3250


5R7A3272


IMGS0877
Mabalozi na wawakilishi kutoka sehemu mbalimbali ndani na nje ya nchi wakiwa wamehudhuria Mkutano Mkuu Maalum wa CCM,mjini Dodoma.
5R7A3154

5R7A3192

5R7A3213

5R7A3244

5R7A3250

5R7A3272

IMGS0833

IMGS0834

IMGS0837

IMGS0839

IMGS0849

IMGS0863

IMGS0873

IMGS0877

IMGS0878

IMGS0882

IMGS0895

IMGS0904

IMGS0908

IMGS0913

IMGS0915

IMGS0921

IMGS0935

IMGS0948

IMGS0977

IMGS0978

IMGS1007



OTH_7169



No comments:

Post a Comment

Tuwasiliane

Name

Email *

Message *

Contact Form

Name

Email *

Message *