Utalii Wetu : JWTZ na Wanahabari katika Kilele cha Mlima Kilimanjaro - Wazalendo 25 Blog

Glory to Story.

PRINTING / GRAPHICS / DESIGN : 0784 643 633

Tuesday, 27 December 2016

demo-image

Utalii Wetu : JWTZ na Wanahabari katika Kilele cha Mlima Kilimanjaro


_MG_0327
Safari ya kuekea kilele cha Uhuru inaanza majira ya saa 5:00 usiku kwa kuianza safafri kutoka Kibo Hut.
_MG_0343
Safari ilikuwa ni usiku kucha
_MG_0348

_MG_0353
Jua likachomoka wakati safari ikiendelea.
_MG_0357

_MG_0358
Kadri kulivyokucha ndivyo washiriki walivyoendelea kupata nguvu ya kuendelea na safari ya kufika Uhuru Peak.
_MG_0369

_MG_0374
Matumaini yakaana kuonekana baada ya alama ya Gilmans Point kuanza kuonekana.
_MG_0381
Mdogo mdogo ndo ilikua kauli ya kuongeza morali kwa wapandaji.
_MG_0412
Gilmans Point hatiaye washiriki wakafika lakini hii ni hatua ya kwanza bado hatua mbili ili kufika Uhuru Peak.
_MG_0440

_MG_0436
Miongoni mwa waliofika Gilmans Point ni Naibuu Kamanda wa kikosi cha nchi kavu cha jeshi la Ulinzi ,Brigedia Jenerali ,Jairo Mwaseba.
_MG_0449
Safari ya kuelekea Uhuru Peak ikiendelea.
_MG_0477
Hatimaye wapandaji wakapita kituo chha Pili ambachi ni Stella na mongoni mwa waliofika hapa ni aliyekuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Utalii Tanzania (TTB) Balozi Charles Sanga.
_MG_0488

a Safari ilivyoendelea kuelekea Uhuru Peak ,safu ya vilima vikiwa vyenye barafu ndio vilitawala eneo hilo.
_MG_0512

_MG_0516
Hatimaye safari ya siku sita ya Wanahabari na askari wa jeshi la Ulinzi (JWTZ) ya kupanda Mlima Kilimanjaro kwa ajili ya kumbukumbu ya miaka 55 ya Uhuru wa Tanganyika ikafika tamati.


Na Dixon Busagaga wa Kanda ya Kaskazini aliyekuwepo katika safari hiyo.

Contact Form

Name

Email *

Message *

Tuwasiliane

Name

Email *

Message *