Siasa : Watumishi ofisi ya Msajili wa vyama vya Siasa wapigwa Msasa - Wazalendo 25 Blog

Habari Mpya

Glory to Story.


Post Top Ad


1 Dec 2016

Siasa : Watumishi ofisi ya Msajili wa vyama vya Siasa wapigwa Msasa


Mshauri Mwelekezi wa Masuala ya Jinsia kutoka “Women Fund” Profesa Ruth Meena akitoa mada.

 Mshauri Mwelekezi wa Masuala ya Jinsia kutoka “Women Fund” Profesa Ruth Meena (kulia), akiwasilisha mada juu ya jinsi ya kuingiza masuala ya jinsia katika mpango kazi wa taasisi wakati wa kikao kazi cha watumishi kutoka Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa kilicho fanyika leo katika Ukumbi wa ofisi za Bunge jijini Dar es Salaam.
 Mafunzo yakitolewa.
Picha ya pamoja na mkufunzi.

(Imeandaliwa na Monica Laurent wa Ofisi ya Msajili wa Vyama)

Post Top Ad