Matukio : Majaliwa amtembelea Malecela, Bunge - Wazalendo 25 Blog

Habari Mpya

Glory to Story.


Post Top Ad


3 Nov 2016

Matukio : Majaliwa amtembelea Malecela, Bunge


 Waziri Mkuu,  Kassim Majaliwa akizungumza na wabunge  wa Nkansi Kaskazini, Ally Kessy wa Nkansi  (katikati) na Livingstone Lusinde wa Mtera kwenye viwanja vya bunge mjini Dodoma Bovemba 2, 2016.
 aziri Mkuu, Kassim Majaliwa  akizungumza na Waziri wa Kilimo , Mifugo na Uvuvi ambaye pia ni Mbunge wa Buchosa, Dkt. Charles Tizeba kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma Novemba 2, 2016. 
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Waziri Mkuu Mstaafu, John Malecela wakati alipomtembelea, nyumbani kwake mjini Dodoma Novemba 2, 2016.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) 
 Wazirii Mkuu Kassim Majaliwa akijibu Maswali  bungeni mjini Dodoma Novemba 3, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
 Wazirii Mkuu Kassim Majaliwa akijibu Maswali  bungeni mjini Dodoma Novemba 3, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na wapiga kura wake kutoka jimbo la Ruangwa waliomtembelea bungeni mjini Dodoma Novemba 3, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na wapiga kura wake kutoka jimbo la Ruangwa waliomtembelea bungeni mjini Dodoma Novemba 3, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwa katika picha ya pamoja na wapiga kura wake kutoka jimbo la Ruangwa  waliotembelea bunge mjini Dodoma Novemba  3, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) 

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad