Matukio : Wafanyakazi wa Mathayo Suleiman Foundation Wachangia Damu Hospitali ya Muhimbili - Wazalendo 25 Blog

Glory to Story.

Monday, 26 September 2016

demo-image

Matukio : Wafanyakazi wa Mathayo Suleiman Foundation Wachangia Damu Hospitali ya Muhimbili



WAFANYAKAZI wa Mathayo Suleiman Foundation wachangia Dam katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili jijini Dar es Salaam leo. Mathayo Suleiman Foundation ni foundation inayojihusisha na kutoa huduma kwa maendeleo ya jamii na kuwaunganisha wanawake pamoja na vijana katika shughuli za uzalishaji mali.

Pia na Foundation Inayosaidia vikundi vyenye shida na mahitaji maalumu kama watoto yatima.

Mwenyekiti Mtendaji wa Mathayo Suleiman Foundation, Eliasaphy Mathayo akizungumza na wafanyakazi hao amesema kuwa leongo kuu la kuchangia damu katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili ni kuokoa maisha ya wahitaji wa damu wanaofikishwa katika hospitali hiyo.

DSC_0013
 Mwenyekiti Mtendaji wa Mathayo Suleiman Foundation, Eliasaphy Mathayo akizungumza kabla ya kuingia kuchangia Damu katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili jijini Dar es Salaam. Amesema kuwa lengo la kuchangia damu katika Hospitali ya Taifa ni kuokoa maisha ya watu wenye mahitaji ya kuongezewa damu.
DSC_0027
 Mratibu wa Mathayo Suleiman Foundation, Banga Suleiman akizungumza na wafanyakazi wa Foundation hiyo pamoja na kuwashukuru Wafanyakazi wa Mathayo Suleiman Foundation jinsi walivyojitoa katika kusaidia na kuokoa maisha ya watu wenye mahitaji ya kuongezewa damu katika hospitali ya Mhimbili jijini Dar es Salaam leo. 
DSC_0051
Afisa Ustawi wa jamii na Mama ushauri nasihi katika huspitali ya Taifa ya Muhimbi kitengo cha Kuchangia Damu, Mama Makishi akizungumza na wafanyakazi wa Mathayo Suleiman Foundation kabla ya kuingia katika chumba cha kuchangia Damu katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili jijini Dar es Salaam leo, amewaeleza fyakula vya kula kabla na baada ya kuchangia damu pamoja na maradhi ya kupima pamoja na wingi wa Damu.

Pia amewaomba wafanyakazi hao walioweza kuchangia damu wawe wanachama kwani kwa kila mwanachama anatakiwa kuchangia zamu kwa mwaka mara mbili pia faida ya kuwa mwanachama atakapo kuwa na mahitaji ya damu atapewa kutoka enki ya damu. 
DSC_0059
DSC_0062
 Baadhi ya wafanyakazi wa Mathayo Suleiman Foundation  wakisubiri kwenda kupima baadhi ya maradhi ndio waingie katika chumba cha kutolea damu.
DSC_0091
 Mwenyekiti Mtendaji wa Mathayo Suleiman Foundation, Eliasaphy Mathayo  akijiandaa kwenda kuchangia damu.
DSC_0102
  Mwenyekiti Mtendaji wa Mathayo Suleiman Foundation, Eliasaphy Mathayo  akiandaliwa kwaajili ya kuchangia damu.
DSC_0109
DSC_0123
 Mwenyekiti Mtendaji wa Mathayo Suleiman Foundation, Eliasaphy Mathayo  akizungumza na mtoa huduma wakati akiendelea kuchangia damu.
DSC_0064

DSC_0068

DSC_0071

DSC_0079

DSC_0085
  
DSC_0097




DSC_0115
   
DSC_0131

DSC_0138
 Baadhi ya ya wafanyakazi wa Mathayo Suleiman Foundation wakichangia damu katika chumba cha kuchangia damu katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili jijini Dar es Salaam leo.
DSC_0147
 Baadhi ya wafanyakazi wa Mathayo Suleiman Foundation wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kuchangia damu.
DSC_0004
DSC_0037Baadhi ya wafanyakazi wa Mathayo Suleiman Foundation wakiwa katika picha ya pamoja kabla ya kuchangia damu katika hospitali ya taifa ya Muhimbili.



DSC_0151

DSC_0155
Baadhi ya wafanyakazi wa   Mathayo Suleiman Foundation wakisubiri kuingi kuchangia damu katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili leo.

No comments:

Post a Comment

Tuwasiliane

Name

Email *

Message *

Contact Form

Name

Email *

Message *