Matukio : Hongera Bwana David Manoti na Nezia Manumbu kwa Kuwa Mwili mmoja - Wazalendo 25 Blog

Glory to Story.

PRINTING / GRAPHICS / DESIGN : 0784 643 633

Monday, 22 August 2016

demo-image

Matukio : Hongera Bwana David Manoti na Nezia Manumbu kwa Kuwa Mwili mmoja


1-2
Bwana Harusi David Saire Manoti akiwa na Mke wake mpenzi Nezia Manumbu  Baada ya Kufunga Pingu za Maisha katika Kanisa la St. Peters Jijini Dar
2
Maharusi wakiwa katika Ibada ya ndoa yao Takatifu
3
 Bwana na Bibi David Saire Manoti wakipata Picha za ukumbusho katika Ufukwe wa Bahari ya Hindi
4
 Maharusi wakipata Picha ya pamoja na Wasimamizi wao
5
Maharusi wakipata picha  na wasimamizi wao pamoja na wasindikizaji walionogesha Harusi hiyo 
6
 Bwana na Bibi Harusi David na Nezia wakiingia ndani ya ukumbi wa Law School
8
Bwana harusi David Manoti akiwa na shangwe wakati anaingia ukumbini 
10
 Kamati kuu ya Maandalizi wakitangaza zawadi yao kwa Maharusi
14
Ulifika muda wa kuzifungua Champagne, huku kila mmoja aliyekuwa nayo mkononi akifungua kwa mbwembwe zake 
IMG_1084-2
 Baadhi ya wageni waalikwa wakiendelea kumiminiwa Champagne kabla ya kufanya Cheers ili kutakiana heri
97
 Maharusi wakipeleka Keki upande wa Bibi Harusi Familia ya akina Manumbu ikiwa ni  ishara ya shukurani
99
 Maharusi wakipeleka keki katika familia ya Bwana Harusi Saire Manoti ikiwa ni ishara ya Shukurani
32
 Maharusi wakilishana keki
80
 Wazazi upande wa Bibi Harusi wakiongozwa na mama mzazi wa Nezia kutoa zawadi ya Familia
81
Wazazi upande wa Bwana Harusi wakiongozwa na Mama Mzazi wa David wakitangaza zawadi yao
18
Wageni waalikwa wakiwa katika Harusi ya Bwana na Bibi David Manoti
20
 Baadhi ya Marafiki wakiwa katika harusi ya David na Nezia
54
Burudani ikiiendelea ... Picha zote na Fredy Njeje.

No comments:

Post a Comment

Tuwasiliane

Name

Email *

Message *

Contact Form

Name

Email *

Message *