Matukio : Rais Mstaafu wa Kenya, Mwai Kibaki atembelea daraja la Mwalimu Nyerere - Wazalendo 25 Blog

Habari Mpya

Glory to Story.


Post Top Ad


20 Jul 2016

Matukio : Rais Mstaafu wa Kenya, Mwai Kibaki atembelea daraja la Mwalimu Nyerere


Mwakilishi Maalumu wa masuala ya maji kutoka Shirika la Umoja wa Mataifa Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) na Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Watu wa Kenya Mwai Kibaki (kushoto) akisalimiana na Mwenyekiti wa Kamati ya maandalizi ya Maonesho ya Wiki ya Maji Afrika (Sylivester Matemu) wakati wa maonesho ya sita katika ya wiki ya maji Afrika yanayoendelea jijini Dar es salaam. Katikati ni Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji na Umwagiliaji Mhandisi Emmanuel Kalobelo.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad