Mwakilishi Maalumu wa masuala ya maji kutoka Shirika la Umoja wa Mataifa
Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) na Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Watu wa
Kenya Mwai Kibaki (kushoto) akisalimiana na Mwenyekiti wa Kamati ya
maandalizi ya Maonesho ya Wiki ya Maji Afrika (Sylivester Matemu) wakati wa
maonesho ya sita katika ya wiki ya maji Afrika yanayoendelea jijini Dar es
salaam. Katikati ni Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji na Umwagiliaji
Mhandisi Emmanuel Kalobelo.
RC MALIMA, MOROGORO KUWA KITOVU CHA UTALII
-
Mkuu wa Mkoa Morogoro Adam Malima amewataka wanahabari kuwa mabalozi wa
utalii, kuandika taarifa zinazowavutia watalii kutoka nje na ndani ya nchi.
RC Mal...
7 hours ago
No comments:
Post a Comment