Waziri
wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Joyce Ndalichako akizungumza
na waandishi habari juu ya hatua ya serikali waliochukua kwa wanafunzi
waliondolewa katika chuo kikuu cha Dodoma ,ofisini kwake jijini Dar
es Salaam, Kulia ni Naibu Katibu Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia,
Dk. Leonard Akwilapo, Kulia ni Kamishina wa Elimu wa Wizara hiyo,
Eustella Balamsesa/Picha na Maktaba.
Majina ya wanachuo waliokuwa wanasoma stashahada maalum ya ualimu chuo kikuu cha Dodoma waliopangiwa kurudi kwenye chuo hicho.
Majina ya wanachuo waliokuwa wanasoma stashahada maalum ya ualimu chuo kikuu cha Dodoma waliopangiwa kurudi kwenye chuo hicho.
No comments:
Post a Comment