Matukio : Mamia wajitokeza kumuaga Mwanahabari Makongoro Oging' kuzikwa Mkoani Mara kesho kutwa - Wazalendo 25 Blog

Glory to Story.

PRINTING / GRAPHICS / DESIGN : 0784 643 633

Thursday, 26 May 2016

demo-image

Matukio : Mamia wajitokeza kumuaga Mwanahabari Makongoro Oging' kuzikwa Mkoani Mara kesho kutwa

2
 Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Global Publishers alikokuwa akifanyia kazi Makongoro Oging', Eric Shigongo akitoa heshima za mwisho mbele ya jeneza lenye lenye mwili wa marehemu Oging' wakati wa kuagwa katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Ilala ya Amana Dar es Salaam mchana wa leo.
IMG_9591
 Mmiliki wa Blog ya Michuzi, Issa Michuzi akitoa heshima za kwa mwili wa marehemu.
IMG_9592
 Mhariri wa Habari wa Gazeti la Champion, Salehe Ali akitoa heshima za mwisho kwa marehemu.
IMG_9595
 Waombolezaji wakiwa na huzuni wakati wa kuaga mwili wa mpendwa wao Makongoro.
IMG_9596
 Mtangazaji wa Kituo cha Televisheni cha ITV. Sam Mahela akitoa heshima za mwisho.
IMG_9601
 Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri wa Habari Tanzania (TEF), Absalom Kibanda akiwa kwenye shughuli hiyo ya kumuaga Makongoro Oging'
IMG_9605
 Ndugu yake na Makongoro Oging' akilia wakati wa kumuaga mpendwa wake Makongoro.
IMG_9607
 Ndugu jamaa na marafiki wakiwa kwenye uagaji wa mpendwa wao.
IMG_9608
 Uagaji ukiendelea.
IMG_9611
 Mtoto wa marehemu akimuaga baba yake 'hakika ni huzuni kubwa'
IMG_9617
 Mjane wa marehemu akiwa hajiwezi baada ya kumuaga mume wake.
IMG_9625
 Mhariri wa habari wa gazeti la Uwazi alilokuwa akiandikia marehemu Oging' Elvan Stambuli akilia kwa uchungu wakati wa kumuaga Makongoro.
IMG_9632
 Baba mlezi wa Makongoro Oging ambaye alimsomesha, akizungumza na wanahabari.
IMG_9636
Waombolezaji wakiwa wamebeba jeneza lenye mwili wa Makongoro kulipeleka kwenye gari kabla ya kuanza kwa safari ya kwenda mkoani Mara.
IMG_9654
Jeneza likiingizwa kwenye gari tayari kwa safari.

No comments:

Post a Comment

Contact Form

Name

Email *

Message *

Tuwasiliane

Name

Email *

Message *