Mwanamuziki Ndanda Kosovo amefariki leo asubuhi Jumamosi April 9, 2016
katika hospitali ya taifa Muhimbili. Habari za kifo chake zimethibitishwa
na King Dodoo ambaye ni mmoja ya viongozi wa wanamuziki kutoka Congo.
Katika taarifa yake alisema, Ndanda Kosovo juzi alifikishwa katika
hospitali ya Mwananyamala kwa maradhi ya tumbo, Baadae hali yake
iliendelea kuwa mbaya na siku ya Ijumaa alihamishiwa katika hospitali ya
Muhimbili na baadae kukutwa na mauti leo asubuhi.
Ndanda Kosovo ni mwanamuziki toka Congo aliyewahi kutamba miaka ya 2000 na
bendi ya wajelajela Original.
He is a Tanzanian Journalist , Editor and blogger of Wazalendo 25 Blog which operate since 2006 ; covering International and Local News, including Politics, Sports, Athletics, Events, personalities and positive news happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English Audience.
Royal Queens Zanzibar wajiwinda na Mapinduzi Cup
-
NA MWANDISHI WETU
TIMU ya wanawake ya mchezo wa Hockey ya Royal Queens kutoka Zanzibar,
imeanza kujiandaa na michuano ya Mapinduzi Cup inayotarajiwa ...
Rais Samia ashuhudia Uapisho wa Makamu wa Rais
-
*Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu
Hassan, ameshuhudia uapisho wa Mheshimiwa Deogratius John Ndejembi kuwa
Makamu w...
NBC Yatoa Mikopo ya Makazi kwa Wakulima 57
-
- Yaendelea kukabidhi Malori kwa Vyama vya Ushirika
Kufuatia hatua ya Serikali kukabidhi Shilingi bilioni 300 kwa taasisi saba
za kifedha, ikiwemo Benki...
No comments:
Post a Comment