Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli
na Rais wa Uganda Mhe Yoweri Kaguta Museveni wakiongea na wanahabari
mara baada ya kukutana na kufanya mazungumzo kwenye Ikulu Ndogo ya
Arusha jijini Arusha leo Machi 1, 2016 mara tu baada ya Kiongozi huyo wa
Uganda kuwasili jijini humo kuhudhuria Mkutano wa 17 wa Kawaida wa
Wakuu wa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli
na Rais wa Uganda Mhe Yoweri Kaguta Museveni wakiwa katika mazungumzo
kwenye Ikulu Ndogo ya Arusha jijini Arusha leo Machi 1, 2016 mara tu
baada ya Kiongozi huyo wa Uganda kuwasili jijini humo kuhudhuria Mkutano
wa 17 wa Kawaida wa Wakuu wa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki.
NAIBU WAZIRI WA NISHATI APONGEZA TPDC KWA JITIHADA ZA UENDELEZAJI WA
NISHATI YA MAFUTA NA GESI ASILIA
-
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba, amekutana na Uongozi wa
Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) na kuwapongeza kwa jitihada
wanazoend...
1 hour ago


No comments:
Post a Comment