Matukio : Mhe. Anthony Mtaka atembelea kiwanda cha maziwa cha kinamama wa Nronga Wilayani Hai - Wazalendo 25 Blog

Glory to Story.

PRINTING / GRAPHICS / DESIGN : 0784 643 633

Tuesday, 9 February 2016

demo-image

Matukio : Mhe. Anthony Mtaka atembelea kiwanda cha maziwa cha kinamama wa Nronga Wilayani Hai


IMG_4902
Mkuu wa wilaya ya Hai,Anthony Mtaka akiongozana na Mchungaji wa Usharika wa Nronga,Jorome Kimaro ,kulia kwake ni katibu na meneja wa Chama cha Ushirika wa Maziwa cha Nronga Heln Ainea alipotembelea Chma hicho.
IMG_4877+%25281280x853%2529
Mkuu wa wilaya ya Hai,Anthony Mtaka akiteta jambo na Katibu wa Chama cha Ushirika wa Maziwa cha Nronga  Helen Ainea wakati wa mkutano mkuu wa 28 wa Ushirika huo uliofanyika katika kiwanda cha zamani cha maziwa cha ushirika huo.
IMG_4884+%25281280x853%2529
Mkuu wa wilaya ya Hai,Anthony Mtaka akizungumza na wanachama wa chama cha Ushirika wa Maziwa cha Nronga wakati wa mkutano mkuu wa 28 wa Ushirika huo.
IMG_4856+%25281280x853%2529
Baadhi ya wanachama wa Chama cha Ushirika wa Maziwa cha Nronga.
IMG_4858+%25281280x853%2529
Baba Mchungaji wa Usharika wa Nronga,Jorome Kimaro akitoa neno wakati wa ufunguzi wa mkutano wa 28 wa Ushirika wa Maziwa wa Nronga.
IMG_4855+%25281280x853%2529
Baadhi ya wanachama.
IMG_4874+%25281280x853%2529
Mwenyekiti wa Chama cha Ushirika wa Maziwa cha Nronga wilayani Hai,Apansia Lema akisoma taarifa mbele ya mgeni rasmi katika mkutano wa 28 wa chama hicho.
IMG_4857+%25281280x853%2529
IMG_4862+%25281280x853%2529
Baadhi ya wanachama wa chama cha Ushirika wa Maziwa cha Nronga wakimpongeza mgeni rasmi ,mkuu wa wilaya ya Hai,Athony Mtaka mara baada ya kutoa hotuba yake ikiwa ni pamoja na kushughulikia changamoto zinazoukabili ushirika huo papo hapo.
IMG_4905+%25281280x853%2529
Katibu na Meneja wa Ushirika wa Maziwa wa Nronga,Helen Ainea akimueleza jambo Mkuu wa wilaya ya Hai,Anthony Mtaka alipotembelea kiwanda hicho.
IMG_4911+%25281280x853%2529
Kiwanda cha kwanza cha Ushirika wa Maziwa cha Nronga kilichopo Nronga-Machame wilayani Hai.
IMG_4915+%25281280x853%2529
Katibu na Meneja wa Ushirika wa Maziwa wa Nronga,Helen Ainea akimuonesha Mkuu wa wilaya ya Hai,Anthony Mtaka maeneo mbalimbali yanayotumika katika uandaaji wa maziwa katika kiwanda hicho.
IMG_4927+%25281280x853%2529
Katibu na Meneja wa Ushirika wa Maziwa wa Nronga,Helen Ainea akimueleza jambo Mkuu wa wilaya ya Hai,Anthony Mtaka alipotembelea kiwanda hicho
IMG_4945+%25281280x853%2529
IMG_4947+%25281280x853%2529
Mkuu wa wilaya ya Hai,Athony Mtaka akitizama bidhaa ya maziwa katika kiwanda cha Ushirika huo kilichopo Nronga -Machame.
IMG_4955+%25281280x853%2529
Bidhaa ya Maziwa ya Chama cha Ushirika cha Nronga .
IMG_4967+%25281280x853%2529
Kiwanda cha Maziwa cha Ushirika wa Maziwa cha Nronga wilayani Hai,
IMG_4975+%25281280x853%2529
Mkuu wa wilaya ya Hai,Anthony Mtaka akizungumza jambo na Mwandishi wa habari James Paul alipotembelea kiwanda hicho.
IMG_4981+%25281280x853%2529
IMG_4984+%25281280x853%2529
DC Mtaka akiangalia moja ya mtambo unaotumika katika uandaji wa Maziwa katika kiwanda cha Ushirika wa Maziwa wa Nronga.
IMG_4994+%25281280x853%2529
Sehemu ya mitambo hiyo.

Na Dixon Busagaga wa Kanda ya Kaskazini.

No comments:

Post a Comment

Tuwasiliane

Name

Email *

Message *

Contact Form

Name

Email *

Message *