Tanzania Freestyle football championship (TFFC2016) ambalo ni shindano la kutafuta/kusaka vipaji vya kuchezea mpira yaani freestyle soccer/Freestyle Football wengi hupenda kuita hivyo ambalo linatarajiwa kuendeshwa kama vile mashindano mengine ya kutafuta vipaji kwa njia mbalimbali ikiwemo ile ya TV show.
Waweza wasiliana nao kupitia anuani hapa +255 654 955 825/ +255 655 049 647
Sika Tanzania Yaadhimisha Miaka 10 kwa Kuzindua Mitambo ya Kisasa Dar es
Salaam na Mwanza
-
Balozi wa Switzerland nchini Tanzania, Nicole Providoli akishirikiana na
viongozi mbalimbali wa Kampuni ya Sika Tanzania wakikata Utepe kuashiria
usheh...
45 minutes ago

No comments:
Post a Comment