Michezo : Matukio Mbalimbali ya Taifa Stars na Algeria zilivyotoka Sare ya Bao 2 - 2 - Wazalendo 25 Blog

Glory to Story.

Monday, 16 November 2015

demo-image

Michezo : Matukio Mbalimbali ya Taifa Stars na Algeria zilivyotoka Sare ya Bao 2 - 2


_MG_1002
Kikosi cha Timu ya Taifa ya Algeria
_MG_1009
Kikosi cha Timu ya Taifa ya Tanzania "Taifa Stars".
OTH_3087
Mshambuliaji machachari wa Timu ya Taifa Stars, Thomas Ulimwengu, akionyesha umahiri wake wa kuwatoka mabeki wa timu ya Taifa ya Algeria, wakati wa Mchezo wa kuwania nafasi ya kufuzu kucheza kwenye Mashindano ya Kombo la Dunia ya Mwaka 2018, katika mechi iliyopigwa jioni ya leo kwenye Uwanja wa Taifa, Jijini Dar es salaam leo. Hadi mwisho wa mchezo, Timu zote zimetoka suluhu ya kufungana Bao 2-2.
_MG_1183
Mchezaji wa timu ya Taifa ya Algeria, Guediora Aldane akiondoka na mpira mbele ya beki wa Timu ya Taifa Stars, wakati wa Mchezo wa kuwania nafasi ya kufuzu kucheza kwenye Mashindano ya Kombo la Dunia ya Mwaka 2018, katika mechi iliyopigwa jioni ya leo kwenye Uwanja wa Taifa, Jijini Dar es salaam leo. Hadi mwisho wa mchezo, Timu zote zimetoka suluhu ya kufungana Bao 2-2.
_MG_1228
Thomas Ulimwengu wa Taifa Stars akichuana vikali kuwania mpira na Beki wa Timu ya Algeria, Ghoulam Faouzi, wakati wa Mchezo wa kuwania nafasi ya kufuzu kucheza kwenye Mashindano ya Kombo la Dunia ya Mwaka 2018, katika mechi iliyopigwa jioni ya leo kwenye Uwanja wa Taifa, Jijini Dar es salaam leo. Hadi mwisho wa mchezo, Timu zote zimetoka suluhu ya kufungana Bao 2-2.
OTH_2710
Mlinda Mlango wa timu ya Taifa ya Algeria, M'bolhi Rais akipiga shuti kuondosha mpira langoni mwake.
OTH_2636
Mshambuliaji wa Timu ya Taifa Stars, Mbwana Samatta akiangalia namna ya kuwatoka mabeki wa timu ya Taifa ya Algeria, wakati wa Mchezo wa kuwania nafasi ya kufuzu kucheza kwenye Mashindano ya Kombo la Dunia ya Mwaka 2018, katika mechi iliyopigwa jioni ya leo kwenye Uwanja wa Taifa, Jijini Dar es salaam leo. Hadi mwisho wa mchezo, Timu zote zimetoka suluhu ya kufungana Bao 2-2.
_MG_1173

OTH_2850
Wachezaji wa Timu ya Taifa Stars wakishangilia ushindi wao wa awali, wakati wa Mchezo wa kuwania nafasi ya kufuzu kucheza kwenye Mashindano ya Kombo la Dunia ya Mwaka 2018, katika mechi iliyopigwa jioni ya leo kwenye Uwanja wa Taifa, Jijini Dar es salaam leo. Hadi mwisho wa mchezo, Timu zote zimetoka suluhu ya kufungana Bao 2-2.
OTH_2712_1
OTH_2761


OTH_2798

OTH_2836
OTH_2887

OTH_2903

OTH_2928

OTH_2938

OTH_2940

OTH_3003

OTH_3023

OTH_3046
OTH_3089

OTH_3191

OTH_2536

OTH_2554

OTH_2563

OTH_2603

OTH_2659

OTH_2678

OTH_2693

OTH_2712

No comments:

Post a Comment

Tuwasiliane

Name

Email *

Message *

Contact Form

Name

Email *

Message *