Muziki na Maisha : Fainali ya Bongo Star Search 2015 Kufanyika Oktoba 9, 2015, Jijini Dar - Wazalendo 25 Blog

Habari Mpya

Glory to Story.


Post Top Ad


7 Oct 2015

Muziki na Maisha : Fainali ya Bongo Star Search 2015 Kufanyika Oktoba 9, 2015, Jijini Dar


 Mwandaaji  wa   Bongo Star Search, Rita Paulsen akizungumza na waandishi wa habari( hawapo pichani)  juu ya fainali ya (BSS) itakayofanyika Ijumaa ya Oktoba 9 mwaka huu katika ukumbi wa King Solomoni Hall uliopo karibu na Nyumbani Lounge au Eaters Point  eneo la Namanga  kuanzia saa moja jioni kikao hicho kimefanyika Jijini Dar es Salaam kulia ni Mkurugenzi wa Mauzo na Masoko  wa Huawei  Samson Majwala.
 Mkurugenzi wa Mauzo na Masoko  wa Huawei, Samson Majwala  akisisitiza jambo katika kikao hicho kulia ni Meneja Masoko wa Huawei  Lyadla Nangaki.
 Baadhi ya Wandishi wa habari wakimsikiliza kwa makini  Mwandaaji  wa Bongo Star Search Rita Paulsen.
 Mshiriki wa (BSS  1O3) kutoka Arusha   Nassib Fonabo akionesha umahili wake wa kucharaza gita mbele ya waandishi wa habari (hawapo pichani) leo jijini Dar es Salaam.
Washiriki wa (BSS) wakiwa katika picha ya pamoja na Mwandaaji  wa   Bongo Star Search Rita Paulsen jijini Dar es Salaam 

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad