
Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa na Katibu Mkuu wa CCM Ndg. Abdulrahma Kinana alipokuwa anawasili kwenye hafla ya kumtambulisha mgombea wa Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli katika ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es salaam Jumatano Agosti 19, 2015

Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa na Makamu wa Mwenyekiti wa CCM (Bara) Ndg Philip Mangula alipowasili kwenye hafla ya kumtambulisha mgombea wa Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli katika ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es salaam Jumatano Agosti 19, 2015

Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es salam Mhe Saidi Meck Sadick alipowasili kwenye hafla ya kumtambulisha mgombea wa Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli katika ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es salaam Jumatano Agosti 19, 2015

Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa na Kamanda wa Kanda Maalum ya Dar es salaam Suleiman Kova alipowasili kwenye hafla ya kumtambulisha mgombea wa Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli katika ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es salaam Jumatano Agosti 19, 2015

Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na mgombea wa Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli

Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na mgombea mwenza Mhe Samia Suluhu Hassan

Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Mwenyekiti wa UWT Mhe Sophia Simba

Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Mama Masaburi

Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Meya wa jiji la Dar es salaam Dkt Masaburi

Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na wana CCM

Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na mkereketwa wa CCM

Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na wakereketwa wa CCM

Sehemu ya umati wa maelfu ya wananchi wa Dar es salaam kwenye hafla ya kumtambulisha mgombea wa Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli katika ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es salaam Jumatano Agosti 19, 2015

Sehemu ya umati wa maelfu ya wananchi wa Dar es salaam kwenye hafla ya kumtambulisha mgombea wa Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli katika ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es salaam Jumatano Agosti 19, 2015

Kila mtu alikuwa na kamera yake ya simu kurekodi hafla ya kumtambulisha mgombea wa Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli katika ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es salaam Jumatano Agosti 19, 2015

Wabunge watarajiwa wa Dar es salaam

Sehemu ya umati

Sehemu ya umati

Sehemu ya umati

Sehemu ya umati

Nyomi ya wana CCM wa Dar es salaam

Nyomi ya wana CCM wa Dar es salaam

Nyomi ya wana CCM wa Dar es salaam

Nyomi ya wana CCM wa Dar es salaam

Mikono juu

Nyomi ya wana CCM wa Dar es salaam

Nyomi ya wana CCM wa Dar es salaam

Nyomi ya wana CCM wa Dar es salaam

Wanahabari kazini

Mwenyekiti wa Wenyeviti wa CCM Ndg Ramadhani Madabida akisalimia umati

Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimia umati

Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea

Msanii nyota wa Bongo Fleva Inspekta Haroun alikuwepo pia

Nyomi

Wana CCM kila pembe ya ukumbi

Diwani Kitwana Manara Popat na wajumbe wenzie

Wabunge wa Dar es salaam

Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiendelea kuongea

Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisisitiza jambo

Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimtambulisha mgombea mwenza Mhe Samia Suluhu Hassan

Mgombea mwenza Mhe Samia Suluhu Hassan akisalima wananchi

Mgombea mwenza Mhe Samia Suluhu Hassan akiongea

Pongezi kwa Mgombea mwenza Mhe Samia Suluhu Hassan

JK akimualika Dkt Magufuli

Mgombea wa Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli akisalimia umati

Mgombea wa Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli akisalimia umati
Mgombea wa Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli akiongea

Mgombea wa Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli akisalimia umati

Mgombea wa Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli akisalimia umati

Pongezi kwa mgombea wa Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli baada ya kuogea

Meza kuu

Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na Dkt Magufuli na Katibu Mkuu wa CCM Ndg. Abdulrahman Kinana

Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na Dkt Magufuli na Katibu Mkuu wa CCM Ndg. Abdulrahman Kinana

Mwenyekiti wa wazee wa Dar es salaam akiongea

Mwenyekiti wa wazee wa Dar es salaam akiongea

Mwenyekiti wa wazee wa Dar es salaam akipongezwa na Dkt Magufuli
Mwenyekiti wa wazee wa Dar es salaam akipongezwa na mgombea mwenza Mhe Samia Suluhu Hassan

Meza kuu

Kwaherini na asante sana


No comments:
Post a Comment