Mwishoni mwa October 2015 (mwaka jana) nilisafiri hadi Butiama nyumbani kwa Mwl Nyerere.
Nilifika kwa maelekezo ya Madaraka Nyerere ambaye kwa mara
ya kwanza nilikutana naye katika msafara wa kupanda mlima Kilimanjaro
kuadhimisha miaka 50 ya Uhuru wa Tanzania (2011).
Nilifurahi sana kulala nyumbani kwa baba wa taifa,
nilijifunza mengi kuhusu yeye, kuhusu Tanzania na zaidi ya yote
nilijifunza kupigania uhuru ambao si lazima uwe wa nchi tu, bali hata
uhuru wa kujitambua.
Ninawasihi sana vijana wenzangu wajifunze mengi kwa
kutembelea kumbukumbu za waasisi wa taifa letu kama Nyerere, Karume,
Sokoine nk.
Na Gadiola Emanuel, Arusha.
Wilhelm Francis Gidabuday ni kati ya vijana waliotangaza nia ya kugombea ubunge jimbo la Hanang kwa tiketi ya CHADEMA.
(1)ARDHI: Hanang kumekuwa na tatizo sugu la uwiano wa
upatikanaji wa haki katika baraza zote za ardhi kuanzia kijiji kata hadi
wilayani. Pia mgogoro sugu wa mashamba ya Nafco, "nitatafuta haki sawia
kwa wakulima na wafugaji, pia nitafuatilia kesi ya msingi
iliyofunguliwa dhidi ya Canada katika mahakama ya kimataifa"
(2)MAJI: Ufisadi wa watendaji wa serikali kwa kula njama na
bodi za maji zimesababisha shida ya maji sehemu kubwa ya Hanang. "Huu
ni mfano ambao mimi mwenyewe nimewahi kupambana nayo, nitasafiri popote
duniani kupata ufadhili wa kuweka miundo mbinu ya kudumu Hanang
iondokane na aibu hii iliyosababishwa na uongozi wa kifisadi wa CCM"
(3)AFYA: Hanang kuna hospitali moja tu ya wilaya ambayo
haina dawa, vitanda hata neti za kuzuia mbu! Mbunge wa Hanang akiugua
anaenda India, wanahanang tuende wapi? "Nitahakikisha ruzuku zote
zinazotolewa kwa ajili ya mfuko wa afya inatumika ipasavyo sambamba na
kujenga vituo vya afya (dispensaries) ngazi ya kata kama ambavyo
sekondari zimejengwa kata zote bila kusahau kusomesha manesi na
madaktari wapya"
(4)ELIMU: Maendeleo ya binadamu hutegemea elimu, matokeo ya
wanafunzi wa Hanang hayakuwa mazuri kwa miaka ya karibuni. "Kwa
kushirikiana na wataalam na wadau wa elimu kuboresha taasisi zilizopo
kwa kuongeza maabara ili elimu ya vitendo iongezee kasi nadharia, pia
kusaka namna mbadala wa kuwaongezea motisha wakufunzi"
(5)MAZINGIRA: Msitu wa Hanang na mabonde yake, Ziwa
Bassotu, Ziwa la Chumvi Gendabi na Balangdalalu ni utajiri usiopimika
aliyotupa mwenyezi Mungu. "Nitahakikisha sheria zilizotungwa na bunge
zinazolinda mazingira zinafuatwa ipasavyo bila kuathiri huduma kwa
wananchi"
(6)MICHEZO: Hanang ni wilaya iliyofanya vizuri katika
riadha miaka ya nyuma, "mimi ni mtaalam wa Elimu ya Viungo yaani
Physical Education, nimehusika sana katika kuandaa michanganuo ya Chama
cha Riadha Tanzania japo sihusiki katika maamuzi, mimi nitahakikisha
sheria ya BMT (act # 12/1967) inafanyiwa marekebisho ili tuboreshe
michezo kuanzia mashuleni ili tuletee sifa taifa letu katika mashindano
ya kimataifa".
Michezo ni ajira, ni afya, ni elimu, ni ukakamavu, ni uzalendo, ni utaifa nk.
HISTORIA KWA UFUPI:
JINA KAMILI; Wilhelm Francis Gidabuday
NYUMBANI;
Nangwa na Arusha, alioa tangu 1995.
Nangwa na Arusha, alioa tangu 1995.
Mawasiliano;
S.L.P 81, Nangwa, HanaSimu 0786778421
S.L.P 81, Nangwa, HanaSimu 0786778421
KAZI; Mkufunzi mchepuo wa michezo (Physical Education Instructor)
ELIMU; Msingi - Nangwa (1980-1986) Sekondari - Balang'da Lalu (1988-1991)
ELIMU YA JUU; -Riverside Community College, California
-Life University, Atlanta, GA. (1995/97)
ELIMU YA JUU; -Riverside Community College, California
-Life University, Atlanta, GA. (1995/97)
MICHEZO;
-1993 na 1994 bingwa wa mbio za nyika na za uwanja California
--Bingwa wa mashindano kadhaa duniani ikiwemo Los Angeles Super Bowl 10k Marekani
KAZI;
-Gardena Reebok California -1995 hadi 1999
-New Balance -1999 hadi 2002 California
-Brooks Inc - 2003 hadi 2005 California
-1993 na 1994 bingwa wa mbio za nyika na za uwanja California
--Bingwa wa mashindano kadhaa duniani ikiwemo Los Angeles Super Bowl 10k Marekani
KAZI;
-Gardena Reebok California -1995 hadi 1999
-New Balance -1999 hadi 2002 California
-Brooks Inc - 2003 hadi 2005 California
KAZI HADI SASA;
-Mratibu wa Sokoine Marathon
-Muandaaji wa program za kimichezo chini ya Riadha Tanzania (RT)
-Mratibu wa Sokoine Marathon
-Muandaaji wa program za kimichezo chini ya Riadha Tanzania (RT)
![]() |
Wilhelm Gidabuday akiwa na Wazazi wake na Marafiki Zake huko Hanang |
Wilhelm Francis Gidabuday ni kati ya vijana waliotangaza nia ya kugombea ubunge jimbo la Hanang kwa tiketi ya CHADEMA.
Mambo makuu atakayosimamia iwapo atapata ridhaa ya chama hatimaye wananchi wa Hanang ni pamoja na;
(1)ARDHI: Hanang kumekuwa na tatizo sugu la uwiano wa
upatikanaji wa haki katika baraza zote za ardhi kuanzia kijiji kata hadi
wilayani. Pia mgogoro sugu wa mashamba ya Nafco, "nitatafuta haki sawia
kwa wakulima na wafugaji, pia nitafuatilia kesi ya msingi
iliyofunguliwa dhidi ya Canada katika mahakama ya kimataifa"
![]() |
Mr & Mrs Wilhelm Gidabuday wakiwa na Tabasamu la Uhakika |
(2)MAJI: Ufisadi wa watendaji wa serikali kwa kula njama na
bodi za maji zimesababisha shida ya maji sehemu kubwa ya Hanang. "Huu
ni mfano ambao mimi mwenyewe nimewahi kupambana nayo, nitasafiri popote
duniani kupata ufadhili wa kuweka miundo mbinu ya kudumu Hanang
iondokane na aibu hii iliyosababishwa na uongozi wa kifisadi wa CCM"
(3)AFYA: Hanang kuna hospitali moja tu ya wilaya ambayo
haina dawa, vitanda hata neti za kuzuia mbu! Mbunge wa Hanang akiugua
anaenda India, wanahanang tuende wapi? "Nitahakikisha ruzuku zote
zinazotolewa kwa ajili ya mfuko wa afya inatumika ipasavyo sambamba na
kujenga vituo vya afya (dispensaries) ngazi ya kata kama ambavyo
sekondari zimejengwa kata zote bila kusahau kusomesha manesi na
madaktari wapya"
(4)ELIMU: Maendeleo ya binadamu hutegemea elimu, matokeo ya
wanafunzi wa Hanang hayakuwa mazuri kwa miaka ya karibuni. "Kwa
kushirikiana na wataalam na wadau wa elimu kuboresha taasisi zilizopo
kwa kuongeza maabara ili elimu ya vitendo iongezee kasi nadharia, pia
kusaka namna mbadala wa kuwaongezea motisha wakufunzi"
(5)MAZINGIRA: Msitu wa Hanang na mabonde yake, Ziwa
Bassotu, Ziwa la Chumvi Gendabi na Balangdalalu ni utajiri usiopimika
aliyotupa mwenyezi Mungu. "Nitahakikisha sheria zilizotungwa na bunge
zinazolinda mazingira zinafuatwa ipasavyo bila kuathiri huduma kwa
wananchi"
(6)MICHEZO: Hanang ni wilaya iliyofanya vizuri katika
riadha miaka ya nyuma, "mimi ni mtaalam wa Elimu ya Viungo yaani
Physical Education, nimehusika sana katika kuandaa michanganuo ya Chama
cha Riadha Tanzania japo sihusiki katika maamuzi, mimi nitahakikisha
sheria ya BMT (act # 12/1967) inafanyiwa marekebisho ili tuboreshe
michezo kuanzia mashuleni ili tuletee sifa taifa letu katika mashindano
ya kimataifa".
Michezo ni ajira, ni afya, ni elimu, ni ukakamavu, ni uzalendo, ni utaifa nk.
No comments:
Post a Comment