Siasa Zetu :Mjumbe wa Halmashauri kuu CHADEMA ,Jafary Michael Afungua Matawi Mapya Moshi, Kilimanjaro - Wazalendo 25 Blog

Glory to Story.

Monday, 25 May 2015

demo-image

Siasa Zetu :Mjumbe wa Halmashauri kuu CHADEMA ,Jafary Michael Afungua Matawi Mapya Moshi, Kilimanjaro


DSCF5413+%2528800x600%2529
Mjumbe wa Halmashauri kuu ya Chadema na meya wa manispaa ya Moshi ,Jafary Michael akizungumza wakati wa uzinduzi wa tawi katika kata ya Longuo mjini Moshi.
DSCF5423+%2528800x600%2529
DSCF5425+%2528800x600%2529
Ofisi mpya ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kata ya Longuo B .
DSCF5428+%2528800x600%2529
Mjumbe wa Halmashauri kuu ya Chadema taifa na meya wa manispaa ya Moshi,Jafary Michael akikata utepe kufungua ofisi mpya ya kata ya Longuo B.
DSCF5433+%2528800x600%2529
Meya Michael akitia saini katika kitabu cha wageni mara baada ya kufungua ofisi ya kata ya Chadema.
DSCF5440+%2528800x600%2529
Katibu wa Chadema mkoa wa Kilimanjaro Basil Lema akitia saini katika kitabu cha wageni wakati wa ufunguzi wa ofisi ya kata ya Longuo B.
DSCF5444+%2528800x600%2529
Diwani wa kata ya Longuo B,Ray Mboya akitia saini katika kitabu hicho.
DSCF5451+%2528800x600%2529
DSCF5453+%2528800x600%2529
DSCF5461+%2528800x600%2529
Baadhi ya makada wa Chadema manispaa ya Moshi wakishuhudia zoezi hilo.
DSCF5462+%2528800x600%2529
Ofisi mpya ya Chadema kata ya, Longuo  manispaa ya Moshi ikafunguliwa rasmi.

Na Dixon Busagaga wa kanda ya Kasakazini.

No comments:

Post a Comment

Tuwasiliane

Name

Email *

Message *

Contact Form

Name

Email *

Message *