Mafanikio : Watangazaji Mahiri wa Redio na Runinga Salim Kikeke na Millard Ayo Walamba Tuzo za Watu 2015 - Wazalendo 25 Blog

Glory to Story.

PRINTING / GRAPHICS / DESIGN : 0784 643 633

Saturday, 23 May 2015

demo-image

Mafanikio : Watangazaji Mahiri wa Redio na Runinga Salim Kikeke na Millard Ayo Walamba Tuzo za Watu 2015

.com/blogger_img_proxy/Millard Ayo na Salim Kikeke
Tuzo za watu 2015 zimetolewa Ijumaa hii kwenye hoteli ya Hyatt Regency jijini Dar es Salaam na kushuhudiwa ‘surprises’ za kutosha. Mshindi mkubwa kwenye usiku huo na ambaye amekuwa surprise kwa wengi ni mtangazaji wa TBC FM, D’jaro Arungu aliyeibuka na tuzo mbili.D’Jaro alikuwa akishindana na Millard Ayo kwenye vipengele hivyo viwili ambaye hata hivyo alishinda pia kipengele cha blog inayopendwa.
.com/blogger_img_proxy/D’Jaro Arungu akiongea baada ya kutangazwa mshindi
“Mtu yeyote aliyekuwa anashindani halafu anaamini anaweza kupata nafasi lazima imshtue,” Millard ameiambia Bongo5.
.com/blogger_img_proxy/Millard Ayo akipokea tuzo ya blog inayopendwa
“Lakini inakushtua kwa njia nzuri kwamba kuna kitu kimemiss au labda unatakiwa ufanyie kazi zaidi. Lakini pia kura zinamata, inachangia sehemu zote, inawezakana ubora wa kipindi na kura pia. Lakini all in all mimi nampongeza sana D’Jaro Arungu, ameshinda kura zote mbili, ni changamoto pia, inatupa nafasi sisi wenyewe kushindana lakini inasaidia pia kufanya kazi kwenye biashara yetu vizuri.”
Wema Sepetu aliyekuwa ametajwa kuwaniwa vipengele vitatu ameibuka na tuzo moja.
.com/blogger_img_proxy/Wema Sepetu akipokea tuzo yake ya muigizaji wa filamu anayependwa
“I’m Grateful… I’m humbled…. I’m out of words… Ila nawapenda for making this happen…. Shout out to all my fans out there… Na haters pia…. I say it’s a new beginning.”
.com/blogger_img_proxy/
“Therez more to this…. I take it as a challenge and a wake up call to give you guys more of what you want me to give,” ameandika Wema kwenye Instagram baada ya ushindi huo,” aliongeza Wema.
.com/blogger_img_proxy/ Ray akishukuru baada ya kutangazwa mshindi wa kipengele cha muongozaji wa filamu anayependwa
.com/blogger_img_proxy/Salim Kikeke
.com/blogger_img_proxy/Dada wa Alikiba akipokea tuzo kwa niaba ya kaka yake
.com/blogger_img_proxy/
.com/blogger_img_proxy/Lady Jaydee akishukuru baada ya kushinda tuzo ya mwanamuziki wa kike anayependwa
.com/blogger_img_proxy/Miss Tanzania 2014/15, Lilian Kamanzima akimkabidhi tuzo Ommy Dimpoz
.com/blogger_img_proxy/
Nancy Sumari akiwapongeza washindi
.com/blogger_img_proxy/Luca Neghesti na Nancy Sumari wakifurahia kilele cha tuzo za watu
.com/blogger_img_proxy/Shangwe kwa washindi
.com/blogger_img_proxy/
.com/blogger_img_proxy/
.com/blogger_img_proxy/Jacqueline Mengi na Nasreen Karim ni miongoni mwa waliohudhuria
.com/blogger_img_proxy/ Joh Makini na Salim Kikeke
.com/blogger_img_proxy/ Mtu na binamu yake: Wakazi na Lady Jaydee
.com/blogger_img_proxy/
.com/blogger_img_proxy/
.com/blogger_img_proxy/Luca na Nancy wakizungumzia tuzo za watu 2015

Hii ni orodha kamili ya washindi
Mtangazaji wa redio anayependwa
D’Jaro Arungu – TBC FM

Kipindi cha redio kinachopendwa
Papaso – TBC FM

Mtangazaji wa runinga anayependwa
Salim Kikeke – BBC Swahili
Kipindi cha runinga kinachopendwa
Mkasi – EATV

Blog/Website inayopendwa
Millardayo.com

Muongozaji wa video anayependwa
Hanscana

Muongozaji wa filamu anayependwa
Vincent ‘Ray’ Kigosi

Muigizaji wa kike wa filamu anayependwa
Wema Sepetu

Muigizaji wa kiume wa filamu anayependwa
Hemedy PHD 
Mwanamuziki wa kike anayependwa
Lady Jaydee

Mwanamuziki wa kiume anayependwa
Alikiba

Filamu inayopendwa
Kigodoro

Video ya muziki inayopendwa
Nani kama Mama – Christian Bella f/ Ommy Dimpoz

No comments:

Post a Comment

Contact Form

Name

Email *

Message *

Tuwasiliane

Name

Email *

Message *