Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Dkt. Shukuru Jumanne Kawambwa pamoja
na viongozi wa elimu nchini watembelea Singapore kujifunza jinsi nchi hiyo
ilivyofanya mageuzi makubwa katika mfumo wa elimu na mafunzo. Mfumo wa elimu wa nchi hiyo, unalenga kuendeleza wanafunzi katika
kuwapatia stadi muhimu zinazohitajika kwa maendeleo ya nchi. Mfumo wa elimu wa nchi hiyo, umeweka mkazo zaidi katika kutoa mafunzo ya
ufundi stadi ambayo yanatoa ujuzi kwa mhitimu kuweza kufanya kazi katika
kada ya kati. Kwa Maelezo Zaidi Bofya Hapa >>>
He is a Tanzanian Journalist , Editor and blogger of Wazalendo 25 Blog which operate since 2006 ; covering International and Local News, including Politics, Sports, Athletics, Events, personalities and positive news happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English Audience.
UCSAF INAVYOBADILI TASWIRA YA MAWASILIANO TANZANIA
-
-Minara 2,454, Intaneti Bure na Mapinduzi ya Kidigitali Vijijini
Na Janeth Raphael MichuziTv
Katika kipindi ambacho dunia inakimbilia kwenye uchumi wa k...
The Legend Begins at Booth R22
-
From *June 4–7, 2026*, the heart of African travel beats at *Karibu
Kilifair Arusha*. Amidst the energy and inspiration of the continent's
premier touris...
No comments:
Post a Comment