Matukio :Redio 5 Watoa Zawadi za Pasaka kwa Wasikilizaji , Jijini Arusha - Wazalendo 25 Blog

Habari Mpya

Glory to Story.


Post Top Ad


31 Mar 2015

Matukio :Redio 5 Watoa Zawadi za Pasaka kwa Wasikilizaji , Jijini Arusha

IMG_8866
Watangazaj wa kituo cha Radio 5 wakimkabidhi dereva wa daladala ya via samunge stendi ya daladala Bw, Juma Ramadhani kapu  la zawadi za pasaka baada ya kuibuka mshindi wa kwanza kwa kuwa msikilizaji wa kituo hicho katika gari lake.,Kulia ni Wilfredy ,Hilda Kinabo na kushoto Mkuu wa vipindi vya Radio5  Mathew Phillip zoezi hilo lilifanyika leo jijini Arusha(Habari Picha na http://jamiiblog.co.tz)
IMG_8870
Hapa Bw.Juma Ramadhani akifanyiwa mahojiano na watangazaji wa kituo cha Radio 5 leo jijini Arusha
IMG_8907
Mama Hadija wa Unga  LTD jijini Arusha akiwa anaangalia zawadi la kapu baadaya kuibuka mshindi kwa kusikiliza Radio 5 kipindi cha taarifa ya habari na matukio,pembeni ni watoto wakiwa wanashuhudia zawadi hizo
IMG_8909
Watangazaji wa kituo cha  Radio 5 wakamkabidhi mshindhi wa pili mama Hadija wa Unga LTD  kapu la zawadi baadaya kuibuka mshindi kwa kusikiliza Radio 5 kipindi cha taarifa ya habari na matukio.
IMG_8926
Kulia ni Hilda Kinabo,kushoto Wilfredy watangazaji mahiri wa kituo cha Radio 5 wakimkabidhi mama Ruthi Sumary mkazi wa Sokon 1 zawadi ya Pasaka
IMG_8928
Watangazaji wa kituo cha Radio 5 wakimkabidhi mshindi wa 3 mama Ruthi Sumary mkazi wa Sokon 1 Kapu la zawadi ya Pasaka baada ya kuibuka kuwa mshindi wa kusikiliza kipindi cha mkasa,kulia ni Meneja  ubunifu wa Redio 5 Vicky Mwakoyo
IMG_8938
Watangazaji wa Radio 5 wakimkabidhi mshindi wa 3 Bwana Paskal Raimond Wenga kutoka Olorien Kijenge Kapu la zawadi  ya pasaka baada ya kuibuka kuwa mshindi kwa kusikiliza vipindi vyote vya Radio 5,

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad