Msiba wa Kitaifa : Dk. Gharib Bilal Aongoza Maelfu katika Mazishi ya Watu 6 wa Familia Moja Waliofariki katika Ajali ya Moto - Wazalendo 25 Blog

Glory to Story.

PRINTING / GRAPHICS / DESIGN : 0784 643 633

Wednesday, 11 February 2015

demo-image

Msiba wa Kitaifa : Dk. Gharib Bilal Aongoza Maelfu katika Mazishi ya Watu 6 wa Familia Moja Waliofariki katika Ajali ya Moto

DSC_1745
 Mama mzazi wa Kapteni David Mpila akiweka udongo katika kaburi la mtoto wake marehemu David Mpila wakati wa mazishi ya watu sita waliokufa kwa ajali ya moto baada ya nyumba yao kuteketea kwa moto usiku wa kuamkia Februari 7.
_MG_0097
 Waombeleji wakielekea makaburini.
_MG_0111
 Baadhi ya watu wakielekea makaburini.
_MG_0144
 Wanafamilia wakiwa na huzuni baada ya miili kuwasili nyumbani
_MG_0171
 Miili ikiwasili nyumbani.
_MG_0276
 Miili ikiombewa nyumbani kabla ya kuelekea makaburini kwa mazishi.
DSC_1008
 Mpumzike kwa amani.
DSC_1022
  Makamu wa rais, Dk. Mohamed Ghalib Bilali akitoa heshima za mwisho mbele ya majeneza yaliyokuwa na miili ya watu sita wa familia moja waliofariki kwa ajali ya moto.
DSC_1107
Mofisa wa Jeshi la wananchi wa tanzania (JWTZ) wakitoa heshima za mwisho.
DSC_1343

Majeneza yenye miili ya watu sita wa familia moja waliofariki kwa ajali ya moto baada ya nyumba yao kuteketea kwa moto eneo la Kipunguni ‘A’ jijini Dar es Salaam usiku wa kuamkia Februari 7, ambao walizikwa katika makaburi ya Airwing Ukonga, Dar es Salaam.

DSC_1632
 Tutawakumbuka daima......
DSC_1655
 Askari wa JWTZ wakiwa wamebeba moja ya jeneza la marehemu waliofariki katika ajali ya moto wakati wa mazishi yao.
DSC_1803
 Fatuma Issa ambaye ni mama wa watoto wawili waliofariki katika ajali hiyo akiweka udongo katika makaburi la watoto wake.
DSC_1817
 Mtoto pekee aliyenusurika katika ajali hiyo, Emmanuel mpila akiweka udongo katika kaburi la baba yake, Kapteni mstaafu wa JWTZ, David Mpila.
DSC_1904
 Mama mzazi wa Kapteni David Mpila akiweka shada la maua.
DSC_1936
 Fatuma Issa akiweka shada la maua katika makaburi ya watoto wake Celina na Pauline.
DSC_1954
 Mama wa watoto wawili waliofariki katika ajali ya moto, Fatuma Issa akiweka shada la maua katika kaburi la mtoto wake, Celina.
DSC_1961
 Emmanuel Mpila akiweka shada la maua katika kaburi la mototo wake, Pauline, Emmanuel alipoteza wa toto wawili katika ajali hiyo.
DSC_1970

 Baba wa watoto wawili waliokufa katika ajali ya moto, Emmanuel Mpila akiweka shada la maua katika kaburi la mmoja wa watoto wake, Pauline
.

DSC_2000
 Makamu wa Rais Dk. Mohamed Gharib Bilal akiweka shada la maua.
DSC_2008
 Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam akiweka shada la maua.
DSC_2038
 Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (Kazi Maalum), Prof. Mark Mwandosya akiweka shada la maua.
DSC_2061
 Jaji Mkuu mstaafu, Agustino Ramadhani akiweka shada la maua.
unnamed+(40)
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal akitoa heshima za mwisho kwenye majeneza yenye miili ya Familia ya marehemu Kapten David Mpila waliofariki kwa kuteketea na moto nyumbani kwao Kipunguni, wakati wa mazishi yao yaliyofanyika Februari 10,2015 katika makaburi ya Airwing Ukonga             Dar es salaam.
unnamed+(42)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal akimfariji mama mzazi wa marehemu bibi Celina Mpila mke wa marehem Kapten David Mpila waliofariki kwa kuteketea na moto, wakati wa mazishi yao yaliyofanyika  Februari 10,2015 katika makaburi ya Airwing Ukonga Dar es salaam.  

No comments:

Post a Comment

Contact Form

Name

Email *

Message *

Tuwasiliane

Name

Email *

Message *