Watuwangu wa ARUSHA a.k.a A Town nawajia kwa moyo wa dhati na upendo, Tukutane pale New Arusha Hotel tar 13.2.2015 Ijumaa kuanzia jioni. Nakuta tuzungumze mambo muhimu ya wapendanao na jinsi ya kuboresha mahusiano yetu. Soma details kwenye tangazo hapo juu na kama unaswali usisite kuuliza kupitia namba hizo hapo juu. Hii sio ya kukosa watu wa Arusha. Mwambie na mwenzako
Serikali yaipongeza Green Acres kwa kuendelea kufanya vizuri kitaaluma
-
Na Mwandishi Wetu
SERIKALI imeipongeza shule ya msingi na sekondari, Green Acres ya jijini
Dar es Salaam kwa namna ambavyo imekuwa ikifanya vizuri kat...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment