UREMBO NA MITINDO :NICOLE FRANKLYN SARAKIKYA NDIYE REDD'S MISS TANZANIA TALENT 2014 - Wazalendo 25 Blog

Glory to Story.

PRINTING / GRAPHICS / DESIGN : 0784 643 633

Monday, 6 October 2014

demo-image

UREMBO NA MITINDO :NICOLE FRANKLYN SARAKIKYA NDIYE REDD'S MISS TANZANIA TALENT 2014


DSC_0432
Nicole Franklyn Sarakikya ambaye ni mwakilishi kutoka Shinyanga 2014  usiku wa kuamkia leo alifanikiwa kuwabagwa warembo wenzake 26 kati ya 30 wanao wania taji la Miss Tanzania mwaka huu na kufanikiwa kuwa mrembo wa 3 kuingia Nusu Fainali ya Mashindano hayo baada ya kutwaa taji la miss talent. Shindano hili limefanyika New Maisha Club jijini Dar es Salaam. (Picha na Pamoja Blog)
DSC_0423
Tano bora ilikuwa hii
1

2

3
 Ommy Dimpoz akiwa kwenye red carpet
DSC_0166
DSC_0174
 Msami akitoa burudani ya nguvu ndani ya Maisha club jijini Dar
DSC_0181
  Mambo yalikuwa hivyo kwa baadhi ya washiriki
DSC_0192
Mardha John akifanya vitu vyake
DSC_0195

DSC_0199

DSC_0203
 Huyu ni balaaaa
DSC_0207
 Elizabeth Eliud akikizungusha kiuno chake
DSC_0218
Dorice Molel akifanya ya kwake kwenye stage
DSC_0221
  Kwa Naomi Kisaka ilikuwa ni shidaaaaaa
DSC_0245
 Huyu alikuja kiivi
DSC_0251
 Sabina Thomas  alitoka kivyake vyake
DSC_0258
  Weeeeee hii ni shida 
DSC_0262
 Maureen Godfrey akishake kwenye stage
DSC_0266
 Majaji wakifuatilia shindano hilo kwa makini
DSC_0273
 Nicole Franklyn Sarakikya akiimba kwa hisia kali
DSC_0275
 Hapa ni mwendo wa burudani tu
DSC_0285
Ni mwendo wa furaha tu
DSC_0290
 Camilla John aliimba kwa hisia 
DSC_0294
 Hii ni kikwetu kwetu
DSC_0305
Happy Sosy alikuja kama Beyonce 
DSC_0314
Queen Latifa Hamisi yeye aliamua kukata nyonga 
DSC_0316
Ni mwendo wa mauno
DSC_0319
 Ni furaha tu
DSC_0336
 Ngoma ziliamia India kwa muda
DSC_0338
 Mc wa mashindano ya Redds  Miss Tanzania Talent, Hypeman Hk akifanya ya kwake kwenye jukwaa la New Maisha Club.
DSC_0361
Ommy Dimpoz akitoa burudani kwenye stage ya Tanzania Miss Talent iliyofanyika ndani ya New Maisha Club Dar es salaam.
DSC_0363
Kazi inaendelea hapa 
DSC_0381
 Majaji wakijadiliana jambo
DSC_0384
 Ilikuwa ni shidaaaaaa
DSC_0401 
Ommy Dimpoz (kulia) akiimba pamoja na Christian Bella waimbo wa mama ulioleta amasa kwa mashabiki wake.
DSC_0412
 Majaji wakiongozwa na Chief jaji Martin Kadinda wakitoa maoni juu ya washiriki walioonesha vipaji vyao
DSC_0416
  Chief Jaji Martin Kadinda akitangaza washindi
xcccc
Baadhi ya mashabiki wakifuatilia kwa makini tukio lililokuwa likiendelea

No comments:

Post a Comment

Tuwasiliane

Name

Email *

Message *

Contact Form

Name

Email *

Message *