SIASA ZETU :MATUKIO KATIKA PICHA MAANDAMANO YA BAWACHA JIJINI DAR, HALIMA MDEE CHINI YA ULINZI KUPANDISHWA KIZIMBANI - Wazalendo 25 Blog

Glory to Story.

Monday, 6 October 2014

demo-image

SIASA ZETU :MATUKIO KATIKA PICHA MAANDAMANO YA BAWACHA JIJINI DAR, HALIMA MDEE CHINI YA ULINZI KUPANDISHWA KIZIMBANI


IMG_1489
 Mbunge wa Kawe kupitia chama cha Chadema, Halima Mdee, akipandishwa katika gari la Polisi baada ya kukamatwa akiongoza maandamano ya Wanawake wa Chadema (BAWACHA) yaliyofanyika juzi jijini Dar es Salaam, kwa kile kilichodaiwa kuwa maandamano hayo hayakuwa na uhalali, ambapo maandamano hayo yalikuwa yakienelea Ikulu. Mbunge huyo anataajia kupandishwa kizimbani kujibu tuhuma zinazo mkabili wakati wowote.
IMG_1440
 Kinamama wa BAWACHA wakiandamana...na mabango...
IMG_1494
 Askari akimdhibiti mmoja kati ya waandamanaji......
IMG_1495
 Chini ya ulinzi....
IMG_1545
 Baadhi ya kina mama wakizungumza na askari kujaribu kuwaelewesha kuhusu maandamano hayo bila mafanikio..
mzuka2
 Halima Mdee akidhibitiwa chini ya ulinzi.......
Picha kwa hisani ya Mzuka wa Fungo

No comments:

Post a Comment

Tuwasiliane

Name

Email *

Message *

Contact Form

Name

Email *

Message *