Baada ya ukimya mdogo star kutoka TPF ambaye ametamba na ngoma zake kama Mawazo na Just fo you amerudi tena,"nimeona nifanye kitu kitogo kwaajili ya mashabiki wangu huku nikiendelea kuboresha tamasha la muziki wa hisia,nawapenda sana",anasema Hisia,hii ni ngoma yake mpya inaitwa "Gimme A Call" ikiwa ni mkono wa John Blass wa Grandmaster Records. Sikiliza/Download Gimme A Call hapa; https://mkito.com/song/gimme-a-call/3054
Madini ya Uraniam kuanza kuzalisha umeme
-
*Profesa Msambichaka aweka umuhimu wa umeme wa Nyuklia.
Na Chalila Kibuda,Michuzi TV
Tume ya Nguvu za Atomu Tanzania (TAEC) imesema kuwa katika mikakati ya...
11 hours ago
No comments:
Post a Comment