Baada ya ukimya mdogo star kutoka TPF ambaye ametamba na ngoma zake kama Mawazo na Just fo you amerudi tena,"nimeona nifanye kitu kitogo kwaajili ya mashabiki wangu huku nikiendelea kuboresha tamasha la muziki wa hisia,nawapenda sana",anasema Hisia,hii ni ngoma yake mpya inaitwa "Gimme A Call" ikiwa ni mkono wa John Blass wa Grandmaster Records. Sikiliza/Download Gimme A Call hapa; https://mkito.com/song/gimme- a-call/3054
Benki ya CRDB yakabidhi madarasa Sekondari ya Kikilo, Shule ya Msingi
Isabe, Kondoa
-
Benki ya CRDB kupitia sera yake ya uwekezaji kwa jamii, Aprili 24 - 25,
2024 ilikabidhi madarasa mawili katika Shule ya Sekondari Kikilo na
madarasa mengi...
8 hours ago
No comments:
Post a Comment