HomeMAISHAMATUKIOMUZIKIMUZIKI NA MATUKIO :CHID BENZ APANDISHWA KIZIMBANI JIJINI DAR LEO KWA SHITAKA LA KUKUTWA NA DAWA ZA KULEVYA,AKOSA DHAMANA, KESI YAKE KUTAJWA TENA NOVEMBA 11
MUZIKI NA MATUKIO :CHID BENZ APANDISHWA KIZIMBANI JIJINI DAR LEO KWA SHITAKA LA KUKUTWA NA DAWA ZA KULEVYA,AKOSA DHAMANA, KESI YAKE KUTAJWA TENA NOVEMBA 11
MSANII wa Muziki wa Kizazi Kipya (bongo fleva), Rashidi Abdallah Makwaro
(29), maarufa kama Chid Benz, amefikishwa mahakamani akikabiliwa na
mashitaka matatu ikiwemo kukutwa na Dawa za kulevya aina ya Heroin yenye
thamani ya Sh. 38,638, bangi ya Sh. 1,720 na vifaa ya kuvutia dawa hizo
kijiko na kigae.Chid Benz amefikishwa mapema leo saa 3:00 asubuhi katika Mahakama ya
Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kusomewa mashitaka
yake. Saa 7:50 mchana alifikishwa mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Warialwande
Lema aliyepangiwa kusikiliza kesi hiyo. Kwa maelezo zaidi Bofya hapa >>>
He is a Tanzanian Journalist , Editor and blogger of Wazalendo 25 Blog which operate since 2006 ; covering International and Local News, including Politics, Sports, Athletics, Movies, Events, personalities and positive news happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English Audience.
-
[image: Tumore prostatico: la prognosi in base a stadio, grado e rischio]
Tumore prostatico: la prognosi in base a stadio, grado e rischio
alt=”” class=”w...
No comments:
Post a Comment