Msanii
wa Sanaa ya Maigizo Nchini, Elizabeth Michael almaarufu kama Lulu
akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa Alipokuwa
akiitambulisha filamu yake Mpya iitwayo MAPENZI YA MUNGU ambayo
amewashirikisha Flora Mtegoha au Mama Kanumba na Msanii wa Muziki wa
Kizazi Kipya Linah Sanga.
Wananchi wa Babati wanufaika na Bima ya Afya kwa Wote, RC Sendiga aongoza
zoezi Imbilili
-
*Na Mwandishi Wetu, Manyara.*
*WANANCHI wa kaya maskini katika Kijiji cha Imbilili, Kata ya Sigino,
Wilaya ya Babati mkoani Manyara, wameanza kunufaika na...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment