Msanii
wa Sanaa ya Maigizo Nchini, Elizabeth Michael almaarufu kama Lulu
akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa Alipokuwa
akiitambulisha filamu yake Mpya iitwayo MAPENZI YA MUNGU ambayo
amewashirikisha Flora Mtegoha au Mama Kanumba na Msanii wa Muziki wa
Kizazi Kipya Linah Sanga.
VIONGOZI MASHABIKI WA TIMU ZA SIMBA NA YANGA WATOA BURUDANI ARUSHA
-
*Na Eleuteri Mangi, Arusha*
*Timu ya Viongozi wa vilabu vinavyoshiriki michuano ya Mei Mosi Taifa 2024
ambao ni mashabiki wa vilabu vya Simba na Yanga wa...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment