Mwishoni mwa wiki iliyopita ilikuwa ni sherehe ya kuazimisha siku ya kuzaliwa Oktoba 4, 2014 kwa mwanadada Sophia Nyagasha ambaye ni mfanyakazi wa Airtel Tanzania (Kulia mwenye nguo nyeupe) ambapo hafla hiyo fupi iliweza kufana ndani ya Kiota cha Maraha cha High Spirit Lounge iliyopo jijini Dar.
Shangwe za marafiki katika hafla hiyo.
Wapendanao nao walikuwepo.
Ilikuwa ni furaha maana wafanyakazi wa Airtel Tanzania walipokutana pamoja kumpongeza mwenzao.
Shampeni ikigawiwa.
Ilikuwa ni shangwe kwa marafiki ambao waliungana nae.
Cheers!
Tunywe kwa afya...
Bibie Sophia Nyagasha akimtambulisha mchumba wake mbele ya marafiki.
He is a Tanzanian Journalist , Editor and blogger of Wazalendo 25 Blog which operate since 2006 ; covering International and Local News, including Politics, Sports, Athletics, Movies, Events, personalities and positive news happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English Audience.
MAKAA YA MAWE YAPAISHA MAPATO MKOA WA NJOMBE
-
*MAKUSANYO ya maduhuli ya Serikali kupitia Sekta ya madini katika Mkoa wa
Njombe yatokanayo na mrabaha, tozo na ada mbalimbali yameendelea kupaa
kutoka...
-
[image: Tumore prostatico: la prognosi in base a stadio, grado e rischio]
Tumore prostatico: la prognosi in base a stadio, grado e rischio
alt=”” class=”w...
No comments:
Post a Comment