Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na wasanii nyota wa filamu na muziki
kutoka Marekani walioko nchini kwa ziara ya kutoa mafunzo kwa wasanii wa
Tanzania. Wasanii hao ni na Terrence J. Jenkins, mwendeshaji wa kipindi cha
muziki kwenye televisheni ya E! Entertainment (wa pili kulia) Chaka Zulu,
Mtendaji wa Shughuli za Muziki kutoka Kampuni ya Disturbing The Peace
Records (wa pili kushoto) na Davis Banner, mwigizaji, mwanamuziki, mtunzi
na msimamizi wa shughuli za muziki ambaye amepata kushinda tuzo maarufu ya
Grammy.
He is a Tanzanian Journalist , Editor and blogger of Wazalendo 25 Blog which operate since 2006 ; covering International and Local News, including Politics, Sports, Athletics, Events, personalities and positive news happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English Audience.
HESLB yaanza kupokea maombi ya mikopo Diploma
-
Na: Mwandishi Wetu, DAR
Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imeanza rasmi kupokea
maombi ya mikopo kwa wanafunzi wa elimu ngazi ya Stash...
Deciphering the Secrets of Tanzanian Wildlife
-
*Summary:* Go beyond the checklist. This blog post breaks down the unique
evolutionary traits found *only* in Tanzania's ecosystem.
We explore...
No comments:
Post a Comment