Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na wasanii nyota wa filamu na muziki
kutoka Marekani walioko nchini kwa ziara ya kutoa mafunzo kwa wasanii wa
Tanzania. Wasanii hao ni na Terrence J. Jenkins, mwendeshaji wa kipindi cha
muziki kwenye televisheni ya E! Entertainment (wa pili kulia) Chaka Zulu,
Mtendaji wa Shughuli za Muziki kutoka Kampuni ya Disturbing The Peace
Records (wa pili kushoto) na Davis Banner, mwigizaji, mwanamuziki, mtunzi
na msimamizi wa shughuli za muziki ambaye amepata kushinda tuzo maarufu ya
Grammy.
He is a Tanzanian Journalist , Editor and blogger of Wazalendo 25 Blog which operate since 2006 ; covering International and Local News, including Politics, Sports, Athletics, Events, personalities and positive news happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English Audience.
Maji bwawa la Mindu ni Salama - Bonde la wami Ruvu
-
Na Farida Mangube Morogoro
Bodi ya Maji ya Bonde la Wami-Ruvu imewatoa hofu wakazi wa Manispaa ya
Morogoro kuwa maji ya Bwawa la Mindu ni salama, kwani ke...
No comments:
Post a Comment