Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard K. Membe
(Mb.) akisalimiana na Waziri wa Mambo ya Nje wa Sri Lanka, Mhe. Prof. G.L.
Peiris walipokutana mjini Colombo, Sri Lanka wakati wa ziara ya Mhe. Membe
nchini humo hivi karibuni. Wakati wa ziara hiyo Mhe. Membe kwa niaba ya
Serikali ya Tanzania alisaini mikataba mitatu ikiwemo ule wa Tume ya Pamoja
ya Ushirikiano kati ya Tanzania na Sri Lanka, Mkataba wa Ushirikiano katika
masuala ya Siasa na Mkataba wa Makubaliano katika Maendeleo na Utafiti wa
Kilimo endelevu cha Minazi.
MIGODI YA BARRICK TANZANIA YATOA ELIMU YA USALAMA KAZINI NA UTUNZAJI WA
MAZINGIRA KWENYE MAONESHO YA OSHA.
-
*Baadhi ya Wafanyakazi wa Barrick wakishiriki zoezi la kupanda miti katika
hospitali ya jiji la Arusha.*
*Wafanyakazi wa Barrick wakiwa na wafanyakazi wa h...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment