Mstahiki Meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Ilala Jerry Silaa Jana amefanya ziara fundi ya ukaguzi wa
ujenzi wa barabara ya ukonga Moshibar kilometa 3 kiwango cha changalawe awamu yakwanza. Ikiwa ni
utekelezaji wa miradi ya dharura kulingana na uharibifu wa miundo mbinuulitokea baada
ya Mvua kubwa. Mradi huo ambao unaghalimu kiasi cha shilingi millioni 90.Pesa za
Ujenzi huohizo zinatoka Halmashauri ya Manispaa ya Ilala.Pia Barabara hiyo
itawekwa Lami kwa awamu ya pili ndani ya mwaka huu kwa kilomita tatu.
Mstahiki
Meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Ilala Jerry Silaa wa Kwanza kushoto
akiwa na Mhandisi wa Barabara(mwenye shati Jeusi) pamoja na Diwani wa
ukonga Elizabeth Mbano(katikati) na wa kwanza Kulia ni Mhandisi wa
Manispaa Bwana Muhinda Kassimu wakitazama maendeleo ya ujenzi wa kipande
cha barabara kutoka ukonga-mazizini mpaka moshi bar.
Mhandisi
wa Manispaa Bwana Muhinda Kassimu Akielezea namna ambavyo awamu ya
kwanza ya ukarabati wa barabara hiyo utakavyo kuwa kwa kiwango cha
changarawe na itafuata awamu ya pili ambayo ni Lami.Picha Zote Na Dj Sek Blog
No comments:
Post a Comment