WANAWAKE WANAWEZA :BANG MAGAZINE YASHEREHEKEA MIAKA 10 YA KUANZISHWA KWAKE ,JIJINI DAR ES SALAAM - Wazalendo 25 Blog

Glory to Story.

Monday, 23 June 2014

demo-image

WANAWAKE WANAWEZA :BANG MAGAZINE YASHEREHEKEA MIAKA 10 YA KUANZISHWA KWAKE ,JIJINI DAR ES SALAAM

DSC_0629
Mkurugenzi Mkuu Wa Bang Magazine Emelda Mwamanga Akitoa Historia fupi ya Gazeti kwenye sherehe za miaka 10 ndani ya Escape One
DSC_0635
Mkurugenzi Mkuu wa Bang Magazine Emelda Mwamanga akimkabidhi zawadi ya kushukuru mchango wa Mmoja wa Wadau wa Bang Magazine
DSC_0638
Mkurugenzi wa Bang Magazine akiendelea kutoa zawadi kwa wadau wakubwa wa Bang Magazine
DSC_0641
Mkurugenzi mkuu wa Bang Magazine Emelda Mwamanga Akimkabidhi mwakilishi toka Airtel Tanzani Zawadi ya shukrani kwa kuwa Wadau wao wakubwa kwa miaka 10
DSC_0653
Mrembo Kutoka Bang Magazine Akafungua Shampeni kwa Furaha kuadhimisha miaka 10 ya Bang Magazine.
Keki nzuriii ya Miaka 10 ya Bang Magazine
DSC_0662
Mkurugenzi mkuu wa Bang Magazine akikata Keki kwa Furaha Kusheherekea miaka 10
DSC_0671
Kwa  Furaha kubwa Kabisa Mkurugenzi mkuu Emelda Mwamanga Akimlisha Keki Mfanyakazi wake kusheherekea miaka 10 ya Bang Magazine
DSC_0673
Mkurugenzi mkuu naye akapata Nafasi ya kulishwa Keki na Mwenzake
DSC_0676
Cheeeeers Kwa miaka 10 Ya Bang Magazine
DSC_0677
Ni Furaha isiyo na kifani kwa kufikisha miaka 10,tumetoka mbali sana

No comments:

Post a Comment

Tuwasiliane

Name

Email *

Message *

Contact Form

Name

Email *

Message *