BINGWA KWENYE NGUMI :BONDIA KING CLASS MAWE AREJEA NA UBINGWA WA WPBF, AMCHAPA MZAMBIA KWA K/O - Wazalendo 25 Blog

Glory to Story.

Habari Mpya

PRINTING / GRAPHICS / DESIGN : 0784 643 633


PRINTING / GRAPHICS / DESIGN : 0676 643 633

Tuesday 10 June 2014

BINGWA KWENYE NGUMI :BONDIA KING CLASS MAWE AREJEA NA UBINGWA WA WPBF, AMCHAPA MZAMBIA KWA K/O


Mkuu wa Wilaya ya Kibondo, Venance Mwamoto (kushoto) akipozi na Bondia Ibrahimu ‘King Class Mawe’ na mashabiki wake baada ya kumpokea aliporejea nchini na mkanda wa WPBF, kwa kumchapa mpinzani wake. Mzambia Mwansa Kabinga, kwa K/O katika raundi ya 9, na  kufanikiwa kunyakuwa ubingwa huo. Wa pili  (kushoto) ni bondia Shomari Milundi, (kulia) ni Promota aliyefanikisha safari hiyo Yaj Msangi, wadau Bilali Ngonyani na Rogers Masamu.

No comments:

Post a Comment