Mkuu wa Wilaya ya Kibondo, Venance Mwamoto
(kushoto) akipozi na Bondia Ibrahimu ‘King Class Mawe’ na mashabiki wake baada
ya kumpokea aliporejea nchini na mkanda wa WPBF, kwa kumchapa mpinzani wake.
Mzambia Mwansa Kabinga, kwa K/O katika raundi ya 9, na kufanikiwa
kunyakuwa ubingwa huo. Wa pili (kushoto) ni bondia Shomari Milundi,
(kulia) ni Promota aliyefanikisha safari hiyo Yaj Msangi, wadau Bilali
Ngonyani na Rogers Masamu.
BODABODA MBEYA WAMTAKA DKT. TULIA KUGOMBEA TENA UBUNGE, WAMCHANGIA PESA YA
FOMU
-
*Umoja wa madereva wa bodaboda wa Mbeya Mjini umemtaka Mbunge wa Jimbo
hilo, Mhe. Dkt. Tulia Ackson, kurejea kugombea tena Ubunge wa Jimbo hilo
katika...
52 minutes ago
No comments:
Post a Comment