Mkuu wa Wilaya ya Kibondo, Venance Mwamoto
(kushoto) akipozi na Bondia Ibrahimu ‘King Class Mawe’ na mashabiki wake baada
ya kumpokea aliporejea nchini na mkanda wa WPBF, kwa kumchapa mpinzani wake.
Mzambia Mwansa Kabinga, kwa K/O katika raundi ya 9, na kufanikiwa
kunyakuwa ubingwa huo. Wa pili (kushoto) ni bondia Shomari Milundi,
(kulia) ni Promota aliyefanikisha safari hiyo Yaj Msangi, wadau Bilali
Ngonyani na Rogers Masamu.
KONGAMANO LA ARGeo-C10 LINALENGA KUONGEZA KASI YA UENDELEZAJI JOTOARDHI
AFRIKA- DKT. MATARAGIO
-
*Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati, Dkt. James Mataragio, amesema kuwa
moja ya malengo ya Kongamano la Kimataifa la Jotoardhi (ARGeo-C10)
l...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment