Mkuu wa Wilaya ya Kibondo, Venance Mwamoto
(kushoto) akipozi na Bondia Ibrahimu ‘King Class Mawe’ na mashabiki wake baada
ya kumpokea aliporejea nchini na mkanda wa WPBF, kwa kumchapa mpinzani wake.
Mzambia Mwansa Kabinga, kwa K/O katika raundi ya 9, na kufanikiwa
kunyakuwa ubingwa huo. Wa pili (kushoto) ni bondia Shomari Milundi,
(kulia) ni Promota aliyefanikisha safari hiyo Yaj Msangi, wadau Bilali
Ngonyani na Rogers Masamu.
RC RUKWA APONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA NKASI KWA KUPATA HATI SAFI.
-
Jane Mwakyoma, July 15, 2026, Rukwa.
MKUU wa Mkoa wa Rukwa Charles Makongoro Nyerere ameipongeza Halmashauri ya
Wilaya ya Nkasi kwa kufanikiwa kupata hati ...
30 minutes ago
No comments:
Post a Comment