Mkuu wa Wilaya ya Kibondo, Venance Mwamoto
(kushoto) akipozi na Bondia Ibrahimu ‘King Class Mawe’ na mashabiki wake baada
ya kumpokea aliporejea nchini na mkanda wa WPBF, kwa kumchapa mpinzani wake.
Mzambia Mwansa Kabinga, kwa K/O katika raundi ya 9, na kufanikiwa
kunyakuwa ubingwa huo. Wa pili (kushoto) ni bondia Shomari Milundi,
(kulia) ni Promota aliyefanikisha safari hiyo Yaj Msangi, wadau Bilali
Ngonyani na Rogers Masamu.
SERIKALI KUBORESHA MAZINGIRA YA VIJANA KATIKA ELIMU, UJASIRIAMALI NA AJIRA
-
Na. Ramadhani Kissimba na Saidina Msangi, WF, Mwanza.
Serikali imewahakikishia vijana wanaohitimu masomo katika vyuo mbalimbali
nchini kuwa itaendelea kui...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment