Jana nilibahatika kuwa mtu wa kwanza kumhoji superstar Diamond Platnumz
mara tu baada ya kuwa nominated kwenye BET Awards za Marekani kwenye
kipengele cha Best International Act. Diamond ameeleza furaha yake
kupitia hapa hapa Jestina George online TV. Check him out below.
KAMATI YA KITAIFA YA USIMAMIZI WA MAAFA YAIDHINISHA MPANGO WA DHARURA WA
TAIFA WA KUKABILIANA NA MADHARA YA EL NIÑO
-
*Na.Mwandishi wetu - Dar es Salaam*
*Kamati ya Kitaifa ya Wataalamu ya Usimamizi wa Maafa imeidhinisha Mpango
wa Taifa wa Dharura wa Kukabiliana na Madhara...
19 hours ago
No comments:
Post a Comment