Waziri
Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli,Mh. Edward Lowassa akipata
maelezo kutoka kwa watoto wa Marehemu Edward Sokoine aliyewahi kuwa
Waziri Mkuu wa Tanzania, Namelok Sokoine (MB) na Joseph Sokoine ambaye
ni Afisa katika Ubalozi wa Tanzania nchini Canada, kuhusiana na
maandalizi ya maadhimisho ya miaka 30 ya kifo cha aliyekuwa Waziri Mkuu
na Mbunge wa Monduli,Marehemu Edward Moringe Sokoine, yatakayoadhimishwa
kesho April 12. Rais Jakaya Kikwete ataongoza maadhimisho hayo pamoja
na marais na mawaziri wakuu wastaafu.
POZZOLANA YAIBUA TUMAINI JIPYA ROMBO HUKU SERIKALI IKIJIVUNIA MAENDELEO
UCHIMBAJI MDOGO
-
*Rombo- Kilimanjaro*
*Serikali imeeleza kujivunia hatua kubwa zinazopigwa na Wachimbaji Wadogo
nchini, wakiwemo wanaochimba Madini ya Pozzolana pamoja ...
16 minutes ago
No comments:
Post a Comment