Waziri
Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli,Mh. Edward Lowassa akipata
maelezo kutoka kwa watoto wa Marehemu Edward Sokoine aliyewahi kuwa
Waziri Mkuu wa Tanzania, Namelok Sokoine (MB) na Joseph Sokoine ambaye
ni Afisa katika Ubalozi wa Tanzania nchini Canada, kuhusiana na
maandalizi ya maadhimisho ya miaka 30 ya kifo cha aliyekuwa Waziri Mkuu
na Mbunge wa Monduli,Marehemu Edward Moringe Sokoine, yatakayoadhimishwa
kesho April 12. Rais Jakaya Kikwete ataongoza maadhimisho hayo pamoja
na marais na mawaziri wakuu wastaafu.
SERIKALI YAIHAKIKISHIA TBC KUTATUA CHANGAMOTO ZINAZOWAKABILI ILI IWEZE
KUTEKELEZA DHIMA YAKE KWA UMMA
-
*Mgeni rasmi Waziri wa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya
Habari, Mhe. Jerry William Silaa akiwasili katika Ukumbi wa Hazina,
kufungua Kikao c...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment