Waziri
Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli,Mh. Edward Lowassa akipata
maelezo kutoka kwa watoto wa Marehemu Edward Sokoine aliyewahi kuwa
Waziri Mkuu wa Tanzania, Namelok Sokoine (MB) na Joseph Sokoine ambaye
ni Afisa katika Ubalozi wa Tanzania nchini Canada, kuhusiana na
maandalizi ya maadhimisho ya miaka 30 ya kifo cha aliyekuwa Waziri Mkuu
na Mbunge wa Monduli,Marehemu Edward Moringe Sokoine, yatakayoadhimishwa
kesho April 12. Rais Jakaya Kikwete ataongoza maadhimisho hayo pamoja
na marais na mawaziri wakuu wastaafu.
TET NDIYO MOYO WA ELIMU NCHINI, VITABU VYA KIDATO CHA TANO NA SITA VIPO
HAPA SABASABA -DEO FAZAH
-
MKUU wa Idara ya Fedha na Uhasibu wa Taasisi ya Elimu Tanzania (TET), Deo
Fazah amesema taasisi hiyo ndiyo moyo halisi wa elimu Nchini kwa elimu yetu
ya Ms...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment