CHADEMA : ALLY BANANGA ASHINDA UDIWANI KATA YA SOMBETINI , JIJINI ARUSHA - Wazalendo 25 Blog

Glory to Story.

PRINTING / GRAPHICS / DESIGN : 0784 643 633

Sunday, 9 February 2014

demo-image

CHADEMA : ALLY BANANGA ASHINDA UDIWANI KATA YA SOMBETINI , JIJINI ARUSHA

E
Kamanda Daniel Urioh mpambanaji wa Olasiti na Diwani mpya wa kata ya Sombetini Bw. Ally Bananga wakishangilia ushindi huo.
CDM+2 Mgombea udiwani kwa tiketi ya CHADEMA katika kata ya Sombetini Bw. Ally Bananga :Picha na Maktaba.

 Mgombea udiwani wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Bw. Ally Bananga katika kata ya Sombetini jijini Arusha ,atangazwa Mshindi kwa kura 2564 na kumbwaga chini mgombea mwenzake wa Chama cha Mapinduzi Bw. David .L. Mollel aliyepata kura 2098 na Mgombea wa Chama cha CUF nae akaambulia kura 37.

3
Wafuasi wa Chadema wakishangilia

4
 Wafuasi wa Chadema wakishangilia
5
Mbunge wa Arusha mjini,Godbless Lema akizungumza na waandishi wa habari kuhusu kipigo alichopewa na Polisi wakati akishangila matokeo na wafuasi kabla matokeo rasmi hayajatangazwa

No comments:

Post a Comment

Tuwasiliane

Name

Email *

Message *

Contact Form

Name

Email *

Message *