Spika
wa Baraza la Wawakilishi Mhe. Pandu Ameir Kificho akimuapisha Mhe.
Mahmoud Thabit Kombo kuwa Muwakilishi wa Jimbo la Kiembesamaki, katika
ukumbi wa baraza la Wawakilishi Mbweni.Muakilishi
wa Jimbo la Kiembesamaki Mhe.Mahmoud Thabit Kombo (alievaa koja) akiwa
na baadhi ya viongozi wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na wajumbe Baraza la
wawakilishi katika picha ya pamoja baada ya kuapiswa.
Mhe.Mahmoud Thabit Komboa akisalimiana na wanacha wa CCM waliofika nje ya Baraza la Wawakilishi.
Mhe.Mahmoud
Thabit Komboa na baadhi ya wana familia na Mkewe Bi. Sofia Mgema
(anaesikiliza simu) katika picha ya pamoja nje ya Baraza la Wawakilishi
Mbweni nje kidogo ya Mji wa Zanzibar. (Picha na Makame Mshenga wa Maelezo Zanzibar)
He is a Tanzanian Journalist , Editor and blogger of Wazalendo 25 Blog which operate since 2006 ; covering International and Local News, including Politics, Sports, Athletics, Events, personalities and positive news happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English Audience.
What are we looking for in a Leopard sighting?
-
Travel with Purpose: Meeting the Leopard
The African Leopard (*Panthera pardus*) is perhaps the most elusive and
adaptable of the big cats. Of...
No comments:
Post a Comment