Spika
wa Baraza la Wawakilishi Mhe. Pandu Ameir Kificho akimuapisha Mhe.
Mahmoud Thabit Kombo kuwa Muwakilishi wa Jimbo la Kiembesamaki, katika
ukumbi wa baraza la Wawakilishi Mbweni.Muakilishi
wa Jimbo la Kiembesamaki Mhe.Mahmoud Thabit Kombo (alievaa koja) akiwa
na baadhi ya viongozi wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na wajumbe Baraza la
wawakilishi katika picha ya pamoja baada ya kuapiswa.
Mhe.Mahmoud Thabit Komboa akisalimiana na wanacha wa CCM waliofika nje ya Baraza la Wawakilishi.
Mhe.Mahmoud
Thabit Komboa na baadhi ya wana familia na Mkewe Bi. Sofia Mgema
(anaesikiliza simu) katika picha ya pamoja nje ya Baraza la Wawakilishi
Mbweni nje kidogo ya Mji wa Zanzibar. (Picha na Makame Mshenga wa Maelezo Zanzibar)
He is a Tanzanian Journalist , Editor and blogger of Wazalendo 25 Blog which operate since 2006 ; covering International and Local News, including Politics, Sports, Athletics, Events, personalities and positive news happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English Audience.
NMB YAHIMIZA MATUMIZI YA TEKNOLOJIA KUKUZA BIASHARA
-
Benki ya NMB imewataka wafanyabiashara wa Mwanza, Mara na Geita kutumia
malipo ya kidijitali na akaunti mahsusi za biashara ili kufikia masoko
mapya na kus...
Rais Samia ashuhudia Uapisho wa Makamu wa Rais
-
*Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu
Hassan, ameshuhudia uapisho wa Mheshimiwa Deogratius John Ndejembi kuwa
Makamu w...
NBC Yatoa Mikopo ya Makazi kwa Wakulima 57
-
- Yaendelea kukabidhi Malori kwa Vyama vya Ushirika
Kufuatia hatua ya Serikali kukabidhi Shilingi bilioni 300 kwa taasisi saba
za kifedha, ikiwemo Benki...
No comments:
Post a Comment