Video mpaya ya wasanii wa kutoka Jiji la Arusha katika kundi la " WEUSI" ambao ni Joh Makini, Nikki Wa II pamoja na G.Nako, na video
hii inaitwa NJE YA BOX. Na Director wa video ni mkali wa video za aina Hip Hop, kijana Nisher. Itazame hapa chini...
RC Sendiga awataka Wanawake kutambua nafasi zao ndani ya ndoa, akemea
ukatili wa Kijinsia
-
*Manyara — Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Mhe. Queen Cuthbert Sendiga, amewataka
wanawake wakiwemo viongozi kutambua na kuheshimu nafasi zao ndani ya ndoa,
akis...
4 hours ago

No comments:
Post a Comment