Video mpaya ya wasanii wa kutoka Jiji la Arusha katika kundi la " WEUSI" ambao ni Joh Makini, Nikki Wa II pamoja na G.Nako, na video
hii inaitwa NJE YA BOX. Na Director wa video ni mkali wa video za aina Hip Hop, kijana Nisher. Itazame hapa chini...
Afya : Tanzania Yatangaza Fursa Mpya za Uwekezaji Sekta ya Afya Kimataifa
-
Na Mwandishi Wetu, London
WAZIRI wa Afya, Mhe. Mohamed Mchengerwa, ametangaza kuwa Tanzania iko
tayari kushirikiana na wawekezaji wa kimataifa katika ku...
6 minutes ago

No comments:
Post a Comment